Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Mwigulu kasalia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado yule mmoja ili amalize panya wanaomtafuna huku wanapuliza.Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana!
Tunakua tuko baa tumelewa tukitenguliwa hua tunakua na maneno ya kujifariji tayari.Anapenda kuteua na kutengua siku za weekend usiku
Na Bashe umesahau.Sauti ya wengi ni sauti ya mungu. Bado Mwigulu. Waliokataliwa na magufuli mtakubali sasa kwamba walikuwa ni vilaza tumepiga sana kelele
Mwingulu ndo angetangulia kauua uchumi wa nchi manaake anaumiza kila raia, hana uwezo.Sauti ya wengi ni sauti ya mungu. Bado Mwigulu. Waliokataliwa na magufuli mtakubali sasa kwamba walikuwa ni vilaza tumepiga sana kelele
Sure alipaswa awe wa kwanza kupigwa chiniMwingulu ndo angetangulia kauua uchumi wa nchi manaake anaumiza kila raia, hana uwezo.
Hivi huyu mbunge wa kuteuliwa, si ilikuwa lazima AAPISHWE kwanza kabla ya kuteuliwa kuwa waziri?4. Balozi Mahmoud ThabitKombo ameteuliwa kuwa Mbunge na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Kabla ya uteuzi huu Balozi Kombo alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Italy, anachukua nafasi ya Mhe. January Makamba (Mb.) ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
Tuwaulize wanasheria wa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa SerikaliHivi huyu mbunge wa kuteuliwa, si ilikuwa lazima AAPISHWE kwanza kabla ya kuteuliwa kuwa waziri?
Protocol itafuatwa badaye haja kabidhiwa rungu rasmi.Hivi huyu mbunge wa kuteuliwa, si ilikuwa lazima AAPISHWE kwanza kabla ya kuteuliwa kuwa waziri?
Hii picha ipo kwenye Disepikabo Me 5 au 6?View attachment 3048331 Kizimkazi umepigaje hapooo hadi juu ya mnara alipanda lakini waaaaapiiii alizidi kiburi huyu hafai kuwa hata balozi nyumba kumi
Mtizamo kama wanguSasa ile vita rasmi ya kutumia mitandao ya kijamii kummaliza chura kiziwi inaanza upyaaa.
Kigogo atafufuka kwa kasi mpya.
Niko palee na VPN yangu.
Tutaelewana tu, tutaoneshana makali.
Propagation tu nothing special....Januari na Nape is an ordinary people....Seems to me Wizara ya Mambo ya Nje, Pamoja na Nape walikuwa wanaplot something against Samia, Bybato was too Young to ruin his political carrier.
Message ya Nape kuwa "We can make you win" ilikuwa ina maanisha any one including Rais ana obligation ya kumuheshimu Nape ili apate nafasi
mnataka aitwe kwenye kikao cha ukoo kwa kutengua binamu yake weeee hamna hiyo kituHivi wizara ya mambo ya ndani hajabadilishwa maana kwa huu utekaji unaowndelea na makanusho ya kitoto hatakiwi kuendelea hapo
Kwa sasa ngozi ya Kondoo imechakaa, ya Chui imeanza kuonekana kwa mbali ndio maana watu wamestuka wanataka aondolewe kwenye zizi haraka.Propagation tu nothing special....Januari na Nape is an ordinary people....
Mwigulu is a monster got financial giancy anaishi invisibly. Anaandaa hata familia yake ije iishi maisha flan ya kichawa. Usimuone amevaa benders ile ni ngozi ya kondoo ndani chui