Pre GE2025 Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi huyu mbunge wa kuteuliwa, si ilikuwa lazima AAPISHWE kwanza kabla ya kuteuliwa kuwa waziri?
 
Propagation tu nothing special....Januari na Nape is an ordinary people....

Mwigulu is a monster got financial giancy anaishi invisibly. Anaandaa hata familia yake ije iishi maisha flan ya kichawa. Usimuone amevaa benders ile ni ngozi ya kondoo ndani chui
 
Kwa sasa ngozi ya Kondoo imechakaa, ya Chui imeanza kuonekana kwa mbali ndio maana watu wamestuka wanataka aondolewe kwenye zizi haraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…