Pre GE2025 Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kitana mc
 
Mama anaupiga mwingi, bado mwigulu na yule Wa mambo ya Ndani. Akiwatoa hao Mama aje atuombe kura😂😂😂 alisikika mlevi mmoja
 
Fyekeo linaendelea 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C9xPy1HNDLB/?igsh=MWVlY3NrcWxjd2h0MQ==
 
Ila Nape alinikera kwa ile kauli yake. Aliongea kwa dharau Sana.
 
Mama wa kuupiga mwingi sasa naona kaamua mwaka huu..kama siyo kukosa ile penalty angepiga Hat trick Kabisa
View attachment 3050258
Ila honestly kuna viongozi wanateuliwa lakini in reality hawana uwezo wa kuongoza na hata akili kichwani hawana au Wana akili za kawaida sana.
Binafs Nape uwezo wake wa kiakili ni wa kawaida sana
 
Mwigulu ndio watu waliomshika mama hawezi kumtoa
 
Mama apite pale kwa Mama Manka apige peps ya bariiiid ashushie na Pecon kidogo kidogo

Maka amejua kunifurahisha

Ingependeza Maharage na Januari wachunguzwe haraka sana wanatuhuma nyingi aana hawa!
 
Duh! Huyu Nepi Hakuona aibu kuvua nguo nchi Namna hii na kuichafua Meza kuu
 
Lile jumba lioneni vilevile lina kila aina ya binadamu unaowajua wewe yani wanyambilisi sura mbaya moyo wa shetani na ndio wanaofiti kuwa pale. Angalia matukio yafuatayo:

Mbape mauye kabla hajatumbuliwa wanyambilisi walitumwa wamcheki yuko kwenye mudi gani high au low wakarudisha majibu yuko high ananyemka sebene wale wanyambilisi watabe wenye kazi zao wakasema hapahapa tunamkatia luku mara umeme ziiiiiiiii.

Matukio ya kinyambilisi ni mengi na mengine yanalenga kumtweza aliyejikweza na hivyo kumlia timing ya kinyambilisi mwengo wa kobe kumkata kichwa usicheze na lile jumba walio mule wote ni watu wenye roho mbaya wale wenyewewenyewe weusi warefu wembamba acha hawa tunaowaona kwenye tv kila siku wapo wenyewe wanyambilisi wanyambidenga hao wakipewa kazi na iwe kazi kweli hawakosei ng'oo achana na vile vipoyoyo vilivyomnyambilisi LISUTAL hii ardhi ya mchonga ione hivihivi.
 
Ila Nape alikera Sana. Kipindi sensitive Cha uchaguzi na kutokuaminiana unakuja kutoa kauli ya kijinga vile. Aende kabisa na asirudi Tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…