Uchawa ni fedheha!Maneno ya uchawa ni ya kipumbavu yasiyo na mashiko yoyote tunapoongelea ufanisi wa SSH na awamu yake ya sita.
It's a stupid rhetoric used lately. SSH anakwenda kuifungua nchi kwa SGR na viwanja vya ndege vinavyozidi kujengwa kila mkoa.
Wewe utakuwa ni aidha Nape au Makamba, una machungu sana ya kutumbuliwa sasa umekuja kutafuta faraja kupitia huu uzi.Uchawa ni fedheha!
Nape na Makamba muda huu wanaandika sana hizi nyuzi za kumkejeli SSH na mawaziri wake wapya.Tumeona kila mara anateua na kutengua! Wale wale aliowatengua anawateua tena na kuwatengua tena. Kwa kiingereza ana recycle watu wake bila kuwapa elimu wala semina elekezi.
Anachofanya Samia ni kuonyesha nguvu na madaraka aliyonayo kikatiba. Madaraka na nguvu za Rais ndicho anaonyesha. Kama alivyowahi kusema yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike! Kwa hiyo anaonyesha namna Rais wa jinsia ya kike anavyoweza kutelekeza madaraka na nguvu yake kama Rais wa kike! Anateua na kutengua kama anabadilisha mavazi.
Kuteua na kutengua anakofanya Samia si kwa lengo la kuongeza ufanisi serikalini au kuleta mabadiliko ya kiutendaji serikalini, bali kuonyesha nguvu na madaraka ya Rais mwanamke!
Badala ya teuzi na tengua zake kuleta maendeleo kwa Taifa zinaleta hasara na kudidimiza maendeleo ya nchi! Tangu aingie madarakani kwa kudra ya Mwenyezi Mungu teuzi na tengua zake zimegharimu Serikali mabilioni ya fedha ambazo zingeweza kujenga shule, zahanati, barabara na miradi kadha wa kadha!
Mungu ibariki Tanzania!
PIA SOMA
- News Alert: - Uteuzi Agosti 14, 2024: Rais Samia kafanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali
Una uhakika gani kama kazi yake ni kuteua na kutengua?, au kwa sababu hicho ndicho unachokiona ukitazama televisheni yako?.Huu ndiyo mwanzo wangu wa kufikiri ulipoanzia! Kwani maana ya R nne ni kuteua na kutengua kila kukicha. Kwamba uwezo wake wa kutambua watendaji wazuri wanaomfaa umeishia kama mama anachagua nyanya sokoni? Kwamba hana kazi zaidi ya kuteua na kutengua?
Samia hafai!
Chawa katika ubora wako!Una uhakika gani kama kazi yake ni kuteua na kutengua?, au kwa sababu hicho ndicho unachokiona ukitazama televisheni yako?.
Miradi yote aliyoiacha hayati JPM inamaliziwa muda huu, mwishoni mwa mwezi huu pale Busisi linafunguliwa daraja alilolijenga hayati.
Mwendo kasi unajengwa kwa kasi njia hii ya kuelekea Mbagala. Bandari yetu inao ufanisi unaobadilika tunaondokana na business as usual.
SSH anaweza kuwa bora kikazi kuliko watangalizi wote watano.
Huna hoja mkuu Izia, chuki haikusaidii chochote.Chawa katika ubora wako!
Si kweli, Anachokifanya Samia ni uTHIBITISHO wa kupata PhD. Ni siasa MAKINI. Ni sawa na kulivunja baraza la mawaziri kimtindo fulaini hivi uitwao Samialism.Tumeona kila mara anateua na kutengua! Wale wale aliowatengua anawateua tena na kuwatengua tena. Kwa kiingereza ana recycle watu wake bila kuwapa elimu wala semina elekezi.
Anachofanya Samia ni kuonyesha nguvu na madaraka aliyonayo kikatiba. Madaraka na nguvu za Rais ndicho anaonyesha. Kama alivyowahi kusema yeye ni Rais mwenye jinsia ya kike! Kwa hiyo anaonyesha namna Rais wa jinsia ya kike anavyoweza kutelekeza madaraka na nguvu yake kama Rais wa kike! Anateua na kutengua kama anabadilisha mavazi
Hawezi kukuelewa kama alivyoshindwa kumuelewa Samia na anachokifanya.Si kweli, Anachokifanya Samia ni uTHIBITISHO wa kupata PhD. Ni siasa MAKINI. Ni sawa na kulivunja baraza la mawaziri kimtindo fulaini hivi uitwao Samialism.
Viraka vingi hukamilisha suti kamili. Inanikumbusha zile Jeans za kimarekani zilivyojaa viraka na kuwa pendwa mtaani. Mtaelewa tu. Tupo katika mabadiliko mazito sana na muhimu sana.
Ni ama Tanzania tunajivua ujinga wa miaka 60 au tunaukumbatia milele. Tumuunge mkono MAMA ili tufike nchi ya ahadi.
Kumbe nawe ni zero brain.Ni mpumbavu peke yake anayeweza kulinganisha TLS na vyama vya wafanyakazi!
Ni vema ukaficha ujinga wako usifedheheshe familia yako!
Mzanzibar huyo babaAlivyomteua yule fala aliyeandaa mkataba wa kuuza nchi kwa DP World kuwa AG,aisee nimecheka.
This man Hamza Johari!!!!
Hapana, ni udhaifu katika uongozi kwa sababu unasababisha instability na uncertainty katika uongozi wa nchi. Hayo ni mambo mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa course ya Public Administration atakuambia.Tumeona kila mara anateua na kutengua! Wale wale aliowatengua anawateua tena na kuwatengua tena. Kwa kiingereza ana recycle watu wake bila kuwapa elimu wala semina elekezi.
Anachofanya Samia ni kuonyesha nguvu na madaraka aliyonayo kikatiba.
🤠🤓🤓😂 Pia amedumisha kuvaa ushungi! Ndiyo mambo pekee ameweza!
Uzuri ni kwamba ukweli wote utajidhihirisha baada ya miaka ya KizimkaziDP World wapo pale bandarini wanapiga kazi usiku na mchana. Nyinyi na mawazo yenu yaliyopitwa na wakati endeleeni kutumia hilo neno chawa, halina msaada wowote zaidi ya kujifariji tu.
Unashindwa kutofautisha kati ya uwezo wa Samia na kazi za Serikali zinazoendelea kwa sababu ya uchawa!Huna hoja mkuu Izia, chuki haikusaidii chochote.
Kwa hiyo anabandika na kubandua viraka!Si kweli, Anachokifanya Samia ni uTHIBITISHO wa kupata PhD. Ni siasa MAKINI. Ni sawa na kulivunja baraza la mawaziri kimtindo fulaini hivi uitwao Samialism.
Viraka vingi hukamilisha suti kamili. Inanikumbusha zile Jeans za kimarekani zilivyojaa viraka na kuwa pendwa mtaani. Mtaelewa tu. Tupo katika mabadiliko mazito sana na muhimu sana.
Ni ama Tanzania tunajivua ujinga wa miaka 60 au tunaukumbatia milele. Tumuunge mkono MAMA ili tufike nchi ya ahadi.
Ulivyo na fuvu tupu lililobeba nywele unafananisha TLS na CWT! TLS ni chama cha taaluma kwa kazi mahsusi kwa kibali maalumu ambacho kama huna huwezi ku-practice hata kama una ujuzi!Kumbe nawe ni zero brain.
Sikujibu tena. TLS ni nini basi bwana zero brain?
Hiyo instability na uncertainty inafanya serikali mzima kuwa dhaifu!Hapana, ni udhaifu katika uongozi kwa sababu unasababisha instability na uncertainty katika uongozi wa nchi. Hayo ni mambo mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa course ya Public Administration atakuambia.
Msimsifie Raisi kapendeza wakati hajavaa nguo, hamumsaidii