DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Kuna kijiukweli flan,Halafu hii habari inasemekana eti.... labda kweli.
Shukran ya punda haipaswi kua mateke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kijiukweli flan,Halafu hii habari inasemekana eti.... labda kweli.
".....Ueuzi huu umeanza tarehe 02 Oktoba 2022"UTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Mohamed Yakubi Janabi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Muhimbili.
Prof. Janabi alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)
Prof. Janabi anachukua nafasi ya Prof. Lawrence Maseru ambaye amestaafu.
Aidha Rais Samia amemteua Dkt. Peter R. Kisenge kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete.
Dkt. Kisenge anachukua nafasi ya Prof. Janabi.
Kabla ya uteuzi, Dkt. Kisenge alikuwa Mkurugenzi wa Tafiti na Mafunzo wa (JKCI).
View attachment 2361054
Mkuu ni wasomi unavyo waitaja wajinga kwanini?Nchi hali mbaya wanazidi kujaza wajinga tena
JKCI na MOI zinajitegemea azihusiki na muhimbili ni taasisi tofauti mpaka Board na Kila kituAmepandishwa kuwa mkurugenzi wa muhimbili yote