TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Kwani kazi aliyofanya unadhani ni ndogo!.Kapandishwa cheo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kazi aliyofanya unadhani ni ndogo!.Kapandishwa cheo
Hahahaha na ile sura? Jamaa kakaa kama kinyago flani cha kimakonde hivi..
Makosa madogoHuyu Yunus ni kilaza kwa kweli, uteuzi ‘umeanza’ au ‘utaanza’ 02/10/2022?
Hiyo avatar inatisha sana tutashindwa kulala.Huyu Yunus ni kilaza kwa kweli, uteuzi ‘umeanza’ au ‘utaanza’ 02/10/2022?
Hamna MNH yote taasisi zote 3 kila moja inajetegemea.Kapelekwa kusimamia MNH yote, kutoka kwenye Taasisi
Ndiyo nchi yetu hiyo, tunakosa umakini kabisa. Makosa kama haya yanadhihirisha kuna mengine makubwa zaidi ambayo pia yanatokea na kupuuzwa.Umeanza October 2 2022?
Afu ndo dokta wake Lemutuz,Janabi yuko poa sema aache mambo yake ya ajabu ajabu mara bia inapanua moyo, mara tusile mkate, mara kunywa bia moja masaa 2, mara tembea kilomita 6 kila siku, janabi kwani umeambiwa hapa Duniani tunaishi milele?
Prof Maseru alikuwa mtoto wa mjomba wa JPMUTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Mohamed Yakubi Janabi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Muhimbili.
Prof. Janabi alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)
Prof. Janabi anachukua nafasi ya Prof. Lawrence Maseru ambaye amestaafu.
Aidha Rais Samia amemteua Dkt. Peter R. Kisenge kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete.
Dkt. Kisenge anachukua nafasi ya Prof. Janabi.
Kabla ya uteuzi, Dkt. Kisenge alikuwa Mkurugenzi wa Tafiti na Mafunzo wa (JKCI).
View attachment 2361054
Kwani kuna Prof asiye makini hapo Muhimbili? si angeondolewa .Huyo ni mmoja wa ma Prof makini sana, ana stahili hicho cheo. Huyo ndiye daktari wa taifa