Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajamaanisha hivyo, hata alivyomaanisha pia hayuko sawaAcha mambo yako mleta mada. Janabi hajafanya kazi 2021 pekee, amefanya mambo mengi ya kutukuka kwa miaka mingi tu.
Muhimbili "MNH" ni kubwa sana. Inajumuisha matawi ya upanga na MLoganzila.. Siyo rahis kupata muda wa hizo hotuba.Kuna kitu hapa. Kwa hiyo hatutasikia hotuba za Janabi tena kuhusu mambo ya Moyo? Kwa hiyo haendelei na operations za Moyo?
Mwenzako anamaanisha alihusikaAcha mambo yako mleta mada. Janabi hajafanya kazi 2021 pekee, amefanya mambo mengi ya kutukuka kwa miaka mingi tu.
Nimemuelewa ndiyo maana nimeanza na kumkanya kwa kusema "acha mambo yako*
Po jpm amekujaje mkuu? Mbona nyie waTanzania mnapenda chokochoko sana kwahiyo niambie janabi na kisenge hawafit?
Ani mjinga hapo? Kama sio wewe?Nchi hali mbaya wanazidi kujaza wajinga tena
Hahahaaaa jamaa anafanya maisha yawe magumu sanaJanabi yuko poa sema aache mambo yake ya ajabu ajabu mara bia inapanua moyo, mara tusile mkate, mara kunywa bia moja masaa 2, mara tembea kilomita 6 kila siku, janabi kwani umeambiwa hapa Duniani tunaishi milele?