Vesuvius
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 2,478
- 5,102
JKCI inajitegemea haiko chini ya MNHKapelekwa kusimamia MNH yote, kutoka kwenye Taasisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JKCI inajitegemea haiko chini ya MNHKapelekwa kusimamia MNH yote, kutoka kwenye Taasisi
Inahusiana nini sasa hapa? Unafiki tu
Amepandishwa kuwa mkurugenzi wa muhimbili yoteKwa hyo janabi amestaafu au ametenguliwa?
Hongera kisenge
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Pole sana!
Siyo hivyo, Jakaya institute na Muhimbili ni vitu viwili tofauti. Ila Janabi kapelekwa pakavu mno, ni bora hapo alipokuwa kuna mshiko noma. Huko Muhimbili matatizo ni mengi na aliyekuwepo alipaweza mnoAmepandishwa kuwa mkurugenzi wa muhimbili yote
Tuna subiri uteuzi wa waziri wa fedha. Tumechoka na tozoUTEUZI: Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Mohamed Yakubi Janabi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Muhimbili.
Prof. Janabi alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)
Prof. Janabi anachukua nafasi ya Prof. Lawrence Maseru ambaye amestaafu.
Aidha Rais Samia amemteua Dkt. Peter R. Kisenge kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete.
Dkt. Kisenge anachukua nafasi ya Prof. Janabi.
Kabla ya uteuzi, Dkt. Kisenge alikuwa Mkurugenzi wa Tafiti na Mafunzo wa (JKCI).
View attachment 2361054
Anatisha Kisenge maana kapelekwa kwenye mafuta manonoNaona watu humu wanaongea mambo ya kisenge tu
Hii nafas wangempa Mollel bana.Prof Janabi kateuliwa kuwa mkurugenzi Mtendaji hospital ya Taifa Muhimbili, kabla ya uteuzi alikua ni mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya moyo ya Jakaya kikwete.
View attachment 2361069
Aliekuwa Mtendaji Mtendaji wa hospital ya Taifa Muhimbili prof mseru amestaafu