Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Rais Samia Suluhu amemteua Dkt. Peter Kisenge kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, akichukua nafasi ya Prof. Mohamed Janabi.
Dkt. Kisenge ni Mkurugenzi wa Tafiti na Mafunzo wa JKCI.View attachment 2361064
Waswahili bwana hili jina lingekuwa ni la mhindi au mzungu ungesikia hilo jina ni la watu maarufu sana huko India. Khalafu hii sura inafanana na jamaa mmoja ni hustula hapa machakozi. Ama kweli tenda wema uende zako.