Uko sawa mkuu. kabila moja lilidominate hizi teuzi kwa 50%
 
Balaa hili
Kwenye Kesi ya Sabaya mashaidi walioporwa pesa walisema walikuwa wanamuona Sabaya akikutana na Kihongosi baada ya kuchukua pesa zao
Kwenye Kesi ya Sabaya mashaidi walioporwa pesa walisema walikuwa wanamuona Sabaya akikutana na Kihongosi baada ya kuchukua pesa zao
 
Hizi teuzi za huyu mama jamani!! Sio fair kwa kweli. Sasa hawa wengine wanaongoza vipi hizo halmashauri??!! Mbona mambo yanazidi kuharibika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…