Uteuzi: Rais Samia amteua CEO wa CRDB Abdulmajid Nsekela kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chai, Habib Kambanga kuwa balozi wa Rwanda

Uteuzi: Rais Samia amteua CEO wa CRDB Abdulmajid Nsekela kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chai, Habib Kambanga kuwa balozi wa Rwanda

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan siku ya leo amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali katika nyadhifa za serikali na bodi za kitaifa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uteuzi huo ni kama ifuatavyo:

  1. Balozi Dkt. Habib Galsus Kambanga ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda.
  2. Dkt. Amina Suleiman Msengwa ameteuliwa kuwa Mtakwimu Mkuu wa Serikali. Kabla ya uteuzi huu, Dkt. Msengwa alikuwa Mhadhiri Mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Anachukua nafasi ya Dkt. Albina Chuwa ambaye amemaliza muda wake.
  3. Jaji Dkt. Ntemi Nimiwila Kilekamajenga ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Masoko na Mitaji. Anachukua nafasi ya Jaji Dkt. Deo John Nangela, aliyechaguliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani.
  4. Prof. Aurelia Kamuzora ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Kahawa kwa kipindi cha pili.
  5. Bw. Abdulmajid Nsekela ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Chai Tanzania, akichukua nafasi ya Bw. Mustafa Hamis Umande ambaye amemaliza muda wake.
  6. Prof. Hozen Kahesi Mayaya ameteuliwa kuwa Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) kwa kipindi cha pili.

Snapinst.app_479347843_18269955127258462_2928853094081512212_n_1080 (1).jpg
 
Balozi Dkt. Habib Galsus Kambanga ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda.

Balozi Dr. Habib Gallus Kambanga

1739456299582.png

Dr. Habib G. Kambanga in 2017 during a SADC workshop on counter-terrorism in Tanzania


Before being appointed as a new ambassador, he was the Deputy Director General of Tanzanian Intelligence and Security Service (TISS).[2]


He went on to achieve his Bachelor of Arts In Political Science at Osmania University in Hyberabad, India from 1995-1998.[4] He went on to complete his postgraduate degree on Strategic Studies at University of Aberdeen in Scotland in 2004.[5]

Kambanga has also pursed many different courses that are based on counter-terrorism. He was awarded certificate on Threat Analysis and Counter Surveillance in Virginia, USA. In the December of 2023, he graduated from the Open University Of Tanzania (OUT) with a Doctor of Philosophy (Ph.D) in Political Science.[6]

Utumishi Uliotukuka / Distinguish career :

Career​

From the years of 1992 up to 2000, Kambanga worked at the Tanzanian Intelligence and Security Service (TISS) as a Desk officer/Analyst located in Dar es Salaam, Tanzania. The following year he was promoted to become the Policy Analyst of TISS and for the next 5 years he worked as the Deputy head of Secretariat of the Directorate of Internal Operations of TISS.[3] In 1998 to 1999, Kambanga was chosen as the team leader from Tanzanian Intelligence and Security Service to work on the Al-Qaeda terrorist bombings on the United States embassy in Dar es Salaam, Tanzania from August 1998 - May 1999.[3]

In 2007, Kambanga and his family relocated to Gaborone, Botswana to work at the Southern African Development Community (SADC) Secretariat at the newly established Regional Early Warning Center as their Senior Analyst of Political and Security Threats. For the next 7 years under the Executive Secretaries Tomaz Salomão (2007–2013) and Stergomena Tax (2013–2014) In 2014, He was appointed as the new head of the Regional Early Warning Center (REWC) of the Southern African Development Community (SADC) under Stergomena Tax (2014–2021) and Elias Mpedi Magosi (2021–2022).[7]

In 2021, he had made various statements with the SADC[8][9] andUnited Nations about political security with the Southern parts of Africa.[10]

In 2023, Kambanga made the decision to leave the Southern African Development Community (SADC) to return back to Tanzania after serving almost 16 years in Botswana. When he returned, he was appointed by the President Samia Suluhu Hassan to become the Deputy Director General of Tanzanian Intelligence and Security Service (TISS)[2] in the December of 2023. On 15 June 2024, he was appointed to become an Ambassador.[11][12][13][14] After 8 days, he was sworn in by Samia Suluhu Hassan on 23 June 2024.[15]
 
Naona Bi Mkubwa ameamua kwenda kula Urojo kidogo na kujipongeza baada ya zile sarakasi za Dodoma

Mtu kwao 🤗
 
Wakuu,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan siku ya leo amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali katika nyadhifa za serikali na bodi za kitaifa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uteuzi huo ni kama ifuatavyo:

  1. Balozi Dkt. Habib Galsus Kambanga ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda.
  2. Dkt. Amina Suleiman Msengwa ameteuliwa kuwa Mtakwimu Mkuu wa Serikali. Kabla ya uteuzi huu, Dkt. Msengwa alikuwa Mhadhiri Mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Anachukua nafasi ya Dkt. Albina Chuwa ambaye amemaliza muda wake.
  3. Jaji Dkt. Ntemi Nimiwila Kilekamajenga ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Masoko na Mitaji. Anachukua nafasi ya Jaji Dkt. Deo John Nangela, aliyechaguliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani.
  4. Prof. Aurelia Kamuzora ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Kahawa kwa kipindi cha pili.
  5. Bw. Abdulmajid Nsekela ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Chai Tanzania, akichukua nafasi ya Bw. Mustafa Hamis Umande ambaye amemaliza muda wake.
  6. Prof. Hozen Kahesi Mayaya ameteuliwa kuwa Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) kwa kipindi cha pili.

View attachment 3235512
Pia huu mkeka umempita mzee wa Karma, teuzi na the voice from within? Dah mama mkumbuke tu hata awe mjumbe kwenye bodi ya maziwa.

Cc Pascal Mayalla

Nyau de adriz
 
Back
Top Bottom