Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Tusubiri kusikia kilio cha PKHahaha
Ngj tuone
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusubiri kusikia kilio cha PKHahaha
Ngj tuone
Ova
Mnashida sana nyie!Huyu maza ni mdini sn, kateua karibu wote watu wa Ijumaa
Nafahamu, ndiyo maana amepelekewa mtaalamu mwenzieKagame ni Hatar zaidi kwenye Ineteligencia kwa ukanda wa Africa.usije mchukulia poa.
SidhaniKimeshuka
Sio rahisi kumkataa Kwa maana hata yeye aliowaleta Bongo ni hao hao, mbaya zaidi wameingia hadi sebuleni kwetuVipi kama akimkataa?
Mwenye nacho ataongezewaWakuu,
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan siku ya leo amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali katika nyadhifa za serikali na bodi za kitaifa.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uteuzi huo ni kama ifuatavyo:
- Balozi Dkt. Habib Galsus Kambanga ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda.
- Dkt. Amina Suleiman Msengwa ameteuliwa kuwa Mtakwimu Mkuu wa Serikali. Kabla ya uteuzi huu, Dkt. Msengwa alikuwa Mhadhiri Mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Anachukua nafasi ya Dkt. Albina Chuwa ambaye amemaliza muda wake.
- Jaji Dkt. Ntemi Nimiwila Kilekamajenga ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Masoko na Mitaji. Anachukua nafasi ya Jaji Dkt. Deo John Nangela, aliyechaguliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani.
- Prof. Aurelia Kamuzora ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Kahawa kwa kipindi cha pili.
- Bw. Abdulmajid Nsekela ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Chai Tanzania, akichukua nafasi ya Bw. Mustafa Hamis Umande ambaye amemaliza muda wake.
- Prof. Hozen Kahesi Mayaya ameteuliwa kuwa Mkuu wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) kwa kipindi cha pili.
View attachment 3235512
Ngoja tuone nakumbuka yule aliyekuwa DG wa TISS Alli Siwa aliwahi teuliwa kwenda huko huko Rwanda , Kagame alichelewa sana kuithibitisha ile hati yake ya uteuzi kutoka uteuzi 2014 akamthibitisha 2015.Inaonekana Rwanda alileta jenerali Tanzania na sasa Tanzania imejibu mapigo kwa kumteua Deputy Director General TISS kuwa balozi wa Tanzania nchini Rwanda
TOKA MAKTABA :
Jenerali Patrick Nyamvumba Ameteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Tanzania
iliyoandikwa na Jean de la Croix Tabaro
Februari 28, 202411:08 asubuhi
![]()
Jenerali Patrick Nyamvumba
Kikao cha baraza la mawaziri kilichoongozwa na Rais Paul Kagame jana usiku kilipendekeza Jenerali Patrick Nyamvumba kuwa balozi (Kamishna Mkuu) wa Rwanda nchini Tanzania.
Jenerali Nyamvumba atachukua nafasi kutoka kwa Fatou Harerimana ambaye alipendekezwa kuwa balozi (Kamishna Mkuu) mpya wa Jamhuri ya Rwanda nchini Pakistan
Anaweza kukataliwa boss wake Siwa alichukua mwaka kuthibitishwa hati ya uteuzi.Nimependa Kagame kupelekewa Deputy Director wa TISS kama Balozi kwaajili ya ku-monitor vihatarishi vya PK katika Ukanda wetu wa Afrika Mashariki na Kati na hasa Usalama wa Tanzania 👊
Umeona cv pale mzuri pia kwenye maswala ya ugaidi na kule msumbiji wale waliosumbua kibiti wametulizwa na KagameNimependa Kagame kupelekewa Deputy Director wa TISS kama Balozi kwaajili ya ku-monitor vihatarishi vya PK katika Ukanda wetu wa Afrika Mashariki na Kati na hasa Usalama wa Tanzania 👊
Yaani hapo muislam mmoja,waliobakia wote wala nguruwe bado mnalalamaHuyu maza ni mdini sn, kateua karibu wote watu wa Ijumaa
Hajui kwamba inasemekana watu wa PK nao hurandaranda mitaa hii..Sasa mbona unayamwaga humu?
Ilishaingia siasa,CRDB kuna kitu wanaita sijui Samia Infrasture bond naona Nsekela ndio analipwa kwa kuunga juhudiVipi kuhush CRDB? Anaendelea? I am referring to Majid
Ni kweli, ila lazima ataruhusiwa tu kwaajili ya mahusiano ya kidiplomasiaAnaweza kukataliwa boss wake Siwa alichukua mwaka kuthibitishwa hati ya uteuzi.
Jamaa ni mzuri kwenye ujasusi pamoja na hayo mambo ya ugaidi.Umeona cv pale mzuri pia kwenye maswala ya ugaidi na kule msumbiji wale waliosumbua kibiti wametulizwa na Kagame
Atasaidia kuwatuliza magaidi........kwa PK ngoma sio nyepesi hivyoJamaa ni mzuri kwenye ujasusi pamoja na hayo mambo ya ugaidi.
Kwahiyo huenda akasaidia kumtuliza PK
UPUMBAVU MTUPU!Huyu maza ni mdini sn, kateua karibu wote watu wa Ijumaa
Na IGP mangu naye si alipelekwa Rwanda na maguNgoja tuone nakumbuka yule aliyekuwa DG wa TISS Alli Siwa aliwahi teuliwa kwenda huko huko Rwanda , Kagame alichelewa sana kuithibitisha ile hati yake ya uteuzi kutoka uteuzi 2014 akamthibitisha 2015.
Ni kweli usemacho Mkuu, ila itafanya PK apunguze baadhi ya mawaa yake akishajua uzito wa mtu aliyeenda kwakeAtasaidia kuwatuliza magaidi........kwa PK ngoma sio nyepesi hivyo
Angekua ni mtu wa kutishika hivyo asingekua anafanya yanayofanyika huko kwa TshisekediNi kweli usemacho Mkuu, ila itafanya PK apunguze baadhi ya mawaa yake akishajua uzito wa mtu aliyeenda kwake