Uteuzi: Rais Samia amteua CEO wa CRDB Abdulmajid Nsekela kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chai, Habib Kambanga kuwa balozi wa Rwanda

 

Attachments

  • 20250210_112920.jpg
    586.9 KB · Views: 2
Trained by India's RAW, The Yard and CIA. Kagame gets a full palette of hate from the Boss Lady. 🤣🤣🤣🤣

Gun Boat Diplomacy at its best​
 
Kwaiyo TISS ameanza 1992 na BA ya PS ameanza 1995.
 
Huyu anaweza kurudishwa .
 
Nimependa Kagame kupelekewa Deputy Director wa TISS kama Balozi kwaajili ya ku-monitor vihatarishi vya PK katika Ukanda wetu wa Afrika Mashariki na Kati na hasa Usalama wa Tanzania 👊
Vipi kama akimkataa?
 
Vipi kuhush CRDB? Anaendelea? I am referring to Majid
Kazi ya Bodi sio utekelezaji wa kazi za taasisi Kila siku bali ku-support utekelezaji Kwa kutoa ushauri wa namna bora ya kufanya kazi yaani kiujumla kushiriki kwenye maamuzi yaliyo nje ya uwezo wa taasisi aka kubariki mipango ya taasisi iliyojiwekea na huwa wanakutana kwa kipindi maalumu inaweza ikawa quarterly au pale wanapohitajika
 
ngoja nimalizie kaelimu kangu ka international relation huenda nkapata shavu 😉
 
ASKOFU MKUU WA KANISA KATOLIKI KIGALI ANAITWA ANTONY KAMBANGA, JE,ANAVINASABA VYA RWANDA?
\
 
Nimependa Kagame kupelekewa Deputy Director wa TISS kama Balozi kwaajili ya ku-monitor vihatarishi vya PK katika Ukanda wetu wa Afrika Mashariki na Kati na hasa Usalama wa Tanzania 👊

Kagame ni Hatar zaidi kwenye Ineteligencia kwa ukanda wa Africa.usije mchukulia poa.
 
Huyu anaweza kurudishwa .

Inaonekana Rwanda alileta jenerali Tanzania na sasa Tanzania imejibu mapigo kwa kumteua Deputy Director General TISS kuwa balozi wa Tanzania nchini Rwanda

TOKA MAKTABA :

Jenerali Patrick Nyamvumba Ameteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Tanzania​

iliyoandikwa na Jean de la Croix Tabaro

Februari 28, 202411:08 asubuhi


Jenerali Patrick Nyamvumba
Kikao cha baraza la mawaziri kilichoongozwa na Rais Paul Kagame jana usiku kilipendekeza Jenerali Patrick Nyamvumba kuwa balozi (Kamishna Mkuu) wa Rwanda nchini Tanzania.
Jenerali Nyamvumba atachukua nafasi kutoka kwa Fatou Harerimana ambaye alipendekezwa kuwa balozi (Kamishna Mkuu) mpya wa Jamhuri ya Rwanda nchini Pakistan

Utumishi uliotukuka / distinguish career

Jenerali Patrick Nyamvumba (aliyezaliwa 11 Juni 1967) alipata kuwa Mkuu wa Majeshi ya Jeshi la Ulinzi la Rwanda(RDF) na Waziri wa Usalama wa Ndani wa Jamhuri ya Rwanda. Kuanzia 2013 hadi 2019, alihudumu kama Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda. Rais wa the Military High Court (2007-2009), Chief of Logistics, and Chief of Operations, Plans, and Training (1998-1999)


Jenerali Patrick Nyamvumba

Kabla ya hapo , toka mwaka 2009 hadi 2013, alitumika kati Jeshi la Umoja wa Mataifa Sudan kama Force Commander wa AU-UN Hybrid Operation in Darfur (UNAMID).

Jenerali Patrick Nyamvumba ni mhitimu wa chuo tajwa cha kijeshi Nigerian Defence Academy, Nyamvumba pia alikuwa kamanda wa jeshi la infantry , mkuu wa chuo yaani Commandant wa Rwanda Military Academy huko Nyakinama, Musanze District, nchini Rwanda
 
Mwamba sana huyu

Utu ubuntu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…