Uteuzi: Rais Samia amteua CEO wa CRDB Abdulmajid Nsekela kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chai, Habib Kambanga kuwa balozi wa Rwanda

Mwenye nacho ataongezewa
 
Ngoja tuone nakumbuka yule aliyekuwa DG wa TISS Alli Siwa aliwahi teuliwa kwenda huko huko Rwanda , Kagame alichelewa sana kuithibitisha ile hati yake ya uteuzi kutoka uteuzi 2014 akamthibitisha 2015.
 
Nimependa Kagame kupelekewa Deputy Director wa TISS kama Balozi kwaajili ya ku-monitor vihatarishi vya PK katika Ukanda wetu wa Afrika Mashariki na Kati na hasa Usalama wa Tanzania 👊
Anaweza kukataliwa boss wake Siwa alichukua mwaka kuthibitishwa hati ya uteuzi.
 
Nimependa Kagame kupelekewa Deputy Director wa TISS kama Balozi kwaajili ya ku-monitor vihatarishi vya PK katika Ukanda wetu wa Afrika Mashariki na Kati na hasa Usalama wa Tanzania 👊
Umeona cv pale mzuri pia kwenye maswala ya ugaidi na kule msumbiji wale waliosumbua kibiti wametulizwa na Kagame
 
Vipi kuhush CRDB? Anaendelea? I am referring to Majid
Ilishaingia siasa,CRDB kuna kitu wanaita sijui Samia Infrasture bond naona Nsekela ndio analipwa kwa kuunga juhudi
 
Umeona cv pale mzuri pia kwenye maswala ya ugaidi na kule msumbiji wale waliosumbua kibiti wametulizwa na Kagame
Jamaa ni mzuri kwenye ujasusi pamoja na hayo mambo ya ugaidi.

Kwahiyo huenda akasaidia kumtuliza PK
 
Huyu maza ni mdini sn, kateua karibu wote watu wa Ijumaa
UPUMBAVU MTUPU!
Watu wenye tabia za kiyahudi hata mpewe nini hamuwezi kuridhika!.
Hebu weka list ya wakuu wa mikoa , wakuu wa wilaya na Baraza Zima la mawaziri ili tuone wa ijumaa wangapi na wajumapili wangapi ?!
Naamini kwa sehemu hizo tatu tu itatosha kutuonyesha ni dini ipi ina watu wengi serikalini!.
Huko kwa makatibu wakuu na makatibu tawala tusifike !
Wagalatia kuweni na haya basi!
Mimi ni mfuatiliaji sana wa watu wanaoteuliwa na waliowahi kuteuliwa hata kabla sijazaliwa!.
Nilichokigundua ni kwamba tangu serikali ya Nyerere, Mwinyi, mkapa, Kikwete, Magufuli na sasa hii ya Samia,
NAFASI ZA WAISLAMU HAZIJAWAHI KUWA NYINGI KUSHINDA NAFASI ZA WAVAA MISALABA SERIKALINI.!.
Awamu zote sita waislamu hawajawahi kufika hata 35% ya watumishi wa umma.
Lakini ni bahati mbaya ilioje kwamba kila raisi muislamu akimteua mtumishi muislamu kushika nafasi fulani lazima atokee mbwa fulani abweke eti RAIS KAFANYA UDINI bila kuangalia WAVAA MISALABA WALIOPO SERIKALINI NI ASILIMIA NGAPI UKILINGANISHA NA WAISLAMU ?!.
 
Ngoja tuone nakumbuka yule aliyekuwa DG wa TISS Alli Siwa aliwahi teuliwa kwenda huko huko Rwanda , Kagame alichelewa sana kuithibitisha ile hati yake ya uteuzi kutoka uteuzi 2014 akamthibitisha 2015.
Na IGP mangu naye si alipelekwa Rwanda na magu
 
Atasaidia kuwatuliza magaidi........kwa PK ngoma sio nyepesi hivyo
Ni kweli usemacho Mkuu, ila itafanya PK apunguze baadhi ya mawaa yake akishajua uzito wa mtu aliyeenda kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…