peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaijua PGO?Nyigesa Apewe
Royal family wanaendelea kula maisha na keki ya taifaView attachment 2168615
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua ACI. Hassan Ali Hassan kuwa Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, amechukua nafasi ya Kamishna Johari Masoud Sururu ambaye atapangiwa majukumu mengine.
Kabla ya uteuzi huo Hassan alikuwa Mkuu wa Uhamiaji Mkoa wa Kaskazini Pemba.
View attachment 2168602
Rais Samia amteua Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu
| Full Name | Zuhura Yunus |
| Nick Name | Zuhura |
| Profession | Journalist |
| Boyfriend name | Not Known |
| Physical Status | |
| Age | Not Known |
| Height (Approx) | 5’6″ |
| Weight (Approx) | 65 kg |
| Eye Colour | Black |
| Hair Colour | Black |
| Personal Information | |
| Date of Birth | Not Known |
| Birth Place | London, England |
| Caste/religion | Christian |
| Nationality | British |
| Ethnicity | White |
| School Name | Not Known |
| College Name | Not Known |
| Qualifications | Graduated |
| Parents Profile | |
| Father Name | Not Known |
| Mother Name | Not Known |
| Siblings | Not Known |
| Career | |
| Source Of Income | Television Presenter |
| Appeared In | Journalist, producer, and writer of TV shows |
| Net Worth | $1-5 million (Approx) |
Wakristo ni watu wa taifa lipi ?Safari hii waislamu mshindwe wenyewe tu maza anawateua sn utadhani hakuna wakristo wenye sifa
Unautani na IGP mtarajiwa🏃Anayumba sana huyu mama kipi kinamfanya anashindwa kumpatia uIGP lile liporisi lililoonekana likiulilia mbele ya camera
Huyu ndo Mpemba halisi sasa au wanaitwa Mpemba fyokoRais Samia Suluhu Hassan amemteua ACI. Hassan Ali Hassan kuwa Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, amechukua nafasi ya Kamishna Johari Masoud Sururu ambaye atapangiwa majukumu mengine.
Kabla ya uteuzi huo Hassan alikuwa Mkuu wa Uhamiaji Mkoa wa Kaskazini Pemba.
View attachment 2168602
Kwani we upo taifa lipi?Wakristo ni watu wa taifa lipi ?
Taifa lisilo Na diniKwani we upo taifa lipi?
Utakoma mwenyeweTaifa lisilo Na dini
Ndilo taifa lako hilo??Utakoma mwenyewe
Nyonyesha na wewe muda umefikaNdilo taifa lako hilo??
Hiyo mokono ya suti ni fashion ya kumuiga raisi wa korea kaskaziniRais Samia Suluhu Hassan amemteua ACI. Hassan Ali Hassan kuwa Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, amechukua nafasi ya Kamishna Johari Masoud Sururu ambaye atapangiwa majukumu mengine.
Kabla ya uteuzi huo Hassan alikuwa Mkuu wa Uhamiaji Mkoa wa Kaskazini Pemba.
View attachment 2168602
Nyonyesha na wewe muda umefika
Hassan Ali Hassan Mtoto wa mzee Mwinyi.
Safari hii waislamu mshindwe wenyewe tu maza anawateua sn utadhani hakuna wakristo wenye sifa
Maza mdini sn na mkanda, Pwani kateua mawaziri 5 kutoka mkoa mmoja
Lakini tulisema anateua kanda moja pekee, huyu kavunja record Pwani ameteua mawaziri 5 mkoa mmoja kuna mikoa hawana Waziri hata mmoja eg Arusha hakunaYule aliteua wasukuma tena wakristo mkacheka, mlidhan atadumu milele??