Utakuwa mfuasi mfia jiwe wewe si burekuna kakikundi kamoja kanajifanya kanataka kujimilikisha nchi yetu ya Tanzania na kuifanya mali yao ya kifamilia yao "ya ukoo wao". Hii nchi kuna siku tutaidai mikononi mwao, wanajaribu kutuchezea chezea kama midori. Siku moja watatafuta kwa kuficha sura zao mbaya....🙁🙁🙁. Watanzania sio wapole, sio wote wazungumzaji..ukiwaficha wazungumzaji ambao wanawakilisha upande wa sisi ujue unazidisha chuki upande wako
Ubunge kavuliwa ndo maana shamsi vuai kateuliwa ubungeKuuliza si ujinga,pole pole ataendelea kulipwa mshahara wa Ubunge au ndiyo kwa heli Ubunge.
Yupo ndani ya chama anachora ramani ya 2025 then 2030 akabidhiwe nchiEmmanuel Nchimbi vipi tangu arudi toka Brazil, yupo wapi?
Kijana mfupa hauwezi bora aende zake Malawi akale mema ya nchi, baada ya hapo apelekwe Afghanistan, Bulgaria na Mongolia....
Vita na hao wazee wa SAIGON bwana mdogo Polepole haiwezi, Hiyo vita kaipigana Lowasa kashindwa kutimiza ndoto zake na wamemtuliza, nk nk...Polepole bado sana..sema tu ndio vile tu wazee wa saigoni hawapendi kelele....vyeo vipo vingi...wangeweza kumuweka benchi na bado asingewafanya kitu...
Wizara za kujitajirisha, Ardhi, Nishati , Bandari huko ndio hela ya kampeni hutokea.
Wamejenga majengo kadhaa pale dodomaHivi toka 2015 hadi 2020 nhc limejengea watu nyumba affordable kiasi gani? 😬😬
Wewe! Nchimbi alisharudi Bongo! Lini hiyo?POLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI…usiende.
Ukienda unafanyiwa kile alichofanyiwa Dr Emmanuel Nchimbi kupelekwa Brazil kuwa Balozi sasa anachunga mbuzi kule Goba Dar.