Uteuzi: Rais Samia amteua Humphrey Polepole kuwa Balozi Malawi, Mchechu arudishwa NHC

Uteuzi: Rais Samia amteua Humphrey Polepole kuwa Balozi Malawi, Mchechu arudishwa NHC

Mama kaona atamsumbua na kale kamdomo kake bora akampuzishe huko, ukiwa balozi unazibwa mdomo na makalio unless ukatae.
 
Sasa hiyo uliyo underline unaona ni sababu yenye mashiko?

Ni upuuzi tuu wa Jiwe alitaka apachike watu wake.

Watu dizaini ya kina mchechu Wana connection kubwa Duniani,tunataka functioning nhc sio nhc jina afu mzigo.

Pia kuna yule dada wa TIC alikataa salary ya Magu wamrudishe maana alitolewaga South.
Well nimeapigia hiyo kwa sababu kuna mtu karipoti kuwa NHC imeruhusiwa na serikali kukopa benki. Jambo kubwa lililoripotiwa katika article hiyo ni kwamba Mwenyekiti wa NHC aliunda tume kuichunguza NHC ambayo ndiyo iliyogundua hayo matatizo na kuipeleka ripoti yake kwa Waziri, ambaye naye aliipeleka kwa Rais. Tume iliyoandika barua hiyo iliundwa na Mwenykiti wa bodi mwenyewe, siyo waziri au rais. In fact kutokana na ripoti hiyo, siyo management tu iliyotimuliwa bali hata bodi nzima ikiwamo na mwenyekiti alieyunda tume yenywe nayo ilivunjwa nao wakatimuliwa.
 
Hivi toka 2015 hadi 2020 nhc limejengea watu nyumba affordable kiasi gani? 😬😬
Hakuna hata moja, gharama zimepanda hakuna tofauti ya NHC na other private housing sectors katika market segmentation badala ya kuangalia lowest and middle income wamejikita kushindana na kugombania segment ya wenye nazo (complete U-Turn ya Mission and Objectives ya kuanzisha hili shirika).

Matokeo yake ni kujenga majumba ambayo wanaishi buibui badala ya watu.., There was a Time nyumba za NHC ndio zilikuwa kimbilio la watu..
 
Kwa hiyo bwana kindamba na yeye ni mwanasiasa hadi kupewa ukuu wa mkoa......kutoka mkurugenzi TTCL hadi mkuu wa mkoa, mbona huu ni mkorogano aka. mchanyato...

..Kindamba hakuwa na kolifikeshen za kuteuliwa kuongoza ttcl.
 
Pole pole ni mtu mwenye misimamo.
Pole pole ni mtu mwenye kujiamini
Kesho hataoneksna Ikulu. Trust me
 
Kindamba anatangishwa na naona Mchechu krudishwa kuchechua plus poleslow kuzibwa mdomo huku wengine wstaafu wakiendelea kutangushwa kukamua mema ya ardhi ya tanganyuka na zunzibar na Kibabulii Nahodha kuendelea kutalii kuta za madaraka hata kama keshachoka
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo Polepole amestaafishwa ubunge, akatulie Malawi huko sio.

Fagia wabishi wote kuelekea 2025.

Mama ana Vunja vunja ile cycle yao ili 25 ndani chumbani kuwe kweupe wakati watakaokuwa sebuleni watashughulikiana wenyewe wakiongozwa na zambarau
 
kuna kakikundi kamoja kanajifanya kanataka kujimilikisha nchi yetu ya Tanzania na kuifanya mali yao ya kifamilia yao "ya ukoo wao". Hii nchi kuna siku tutaidai mikononi mwao, wanajaribu kutuchezea chezea kama midori. Siku moja watatafuta kwa kuficha sura zao mbaya....🙁🙁🙁. Watanzania sio wapole, sio wote wazungumzaji..ukiwaficha wazungumzaji ambao wanawakilisha upande wa sisi ujue unazidisha chuki upande wako
 
Rais Samia Suluhu amemteua Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi.

Sambamba na hilo Rais Samia Suluhu amemteua Shamsi Vuai Nahodha kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Kuuliza si ujinga,pole pole ataendelea kulipwa mshahara wa Ubunge au ndiyo kwa heli Ubunge.
 
Back
Top Bottom