Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
He will win who knows when to fight and when not to fight.Ninavyomjua HP ,Huko kwa Wanyasa Hatakwenda.Yeye siyo wa kupelekwa pelekwa.By the way alisema yeye njaa haiumagi kihivyo.Alifika Dar muda mrefu. na alikuwa na mpango wa kutogombea ubunge baada ya kumaliza muda wake
Sun Tzu
Nadhani hapa ni Check Mate...., aende akafe politically au abaki aendelee na msimamo wake wahumi waendelee kumlia Timing...
Nadhani kama akibaki ajitoe kwanza CCM na aanze kuwachana live hawa wahuni (maybe it may payoff long term)