The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Akistaafu si anaendelea kuongea shida iko wapimara mwakani anastafishwa ubalozi....kataa wahuni wanamtoa kijanja mnoo 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akistaafu si anaendelea kuongea shida iko wapimara mwakani anastafishwa ubalozi....kataa wahuni wanamtoa kijanja mnoo 😂
Mkuu, hapo jamaa kazimwa aachane na wahuni, kama ni suala la ulaji hata ubunge ulikuwa na pesa tuPolepole kamuenzi JPM,kabaki na ulimi mmoja mpaka sasa,na hatimaye kaula.
Ana jeuri hiyo hivi mamlaka ya rais mnayachukuliaje?agome asiende aoneHaendi huyu,anakataa ,mtaona kesho kama atatokea kuapishwa,na akienda malawi...kwisha habari yake...
Na wewe jipange kupiga tuu unatusimulia sisi tukusaidie nini?Nchi inaongozwa na watu wa hivyo,yani mchechu ndio anaweza NHC na wengine hawawezi...jk anaongoza hii serikali nchi inarudi kwenye upigaji
Punguza wengeNa wewe jipange kupiga tuu unatusimulia sisi tukusaidie nini?
Na usukuma mbona ulishika kasi hamkusemaSababu sio muhimu sana ndugu, ni suala la mkeka kutimia, anafuata Mafuru, genge linatimia! Vuai kuwa mbunge? Alikuwa waziri kiongozi huyu, kuna neno hapa......uzanzibar unaenda kushika hatamu
We endelea kujidanganya hapo nyuma ya keyboard,asienfe hataki kula? Mwenzako kesho mapema anaapisha na kwenda zake lilongwePOLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI …. Haendi
Kwa akili yako wewe unaona kaula? Bora ungeishia kusoma tu bila kukomenti chochote. Ona sasa unavyoonekana mpumbavu kwa vitu vya kujitakia.Polepole kamuenzi JPM,kabaki na ulimi mmoja mpaka sasa,na hatimaye kaula.
ataongea akiwa raia wa kawaidaAkistaafu si anaendelea kuongea shida iko wapi
tatizo ukikataa unaonekana huna maslahi na nchi bali ni tumbo lako binafsi, kwani hata huko Malawi unawakilisha maslahi ya Taifa lakoInaonesha kabisa Mama hataki mtu yeyote wa Magufuli na kwa hesabu yao wanaona Pole pole atawapa challenge! Sasa kwa kifupi katumbuliwa huko ni kumpeleka tu akajinyonge mwenyewe! Kama anajiamini amtake Rais asichukue nafasi yake! Ila tofauti na Hapo ndo kashapotea huyo!
Hivi inakuwaje mstaafu anarudishwa kazini?
Huku ndio kupeana mashavu sasa. Huku watoto wa maskini waliojikongoja kusoma wanaambiwa waende veta au wajiajiri..
Wapambe njaa 😬😬Hata mimi naona atose uteuzi kwani watu wangapi wanaishi bila kutegemea uteuzi! Kama atakubali kwisha habari yake! Maana aliyemteua hana nia njema na yeye! Atajilisha upepo tu hata kama ataenda huko!
Bonge .la comentNaaam, na haukudumu kweli ndio huo unayoyoma
Kizazi cha mchwa kilianza kurudi mapema tu baada ya mama kushika usukani.Nehemia Mchechu NHC tena? Ni sababu zipi zilipelekea kutumbuliwa? Hazikuwa genuine?Hivi hakuna watanzania wengine?
Nimecheka sana hii comentAkikataa Uteuzi wa Rais kesho kutwa yule Muandishi wa Barua ya Mnyika ya kuteua Kina Halima Mdee na ya kujiuzulu Ndugai anaingia Jikoni na huwa hakosei mapishi
Kashika kidevuRais Samia Suluhu amemteua Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi.
Sambamba na hilo Rais Samia Suluhu amemteua Shamsi Vuai Nahodha kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Pia Rais Samia Suluhu amemteua Waziri Kindamba kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe.
Kindamba alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TTCL na anachukua nafasi ya Mhandisi Marwa Rubirya ambaye amestaafu kwa umri.
Polepole na Kindamba wanatarajiwa kuapishwa kesho Jumanne tarehe 15 Machi 2022 Ikulu ya Chamwino Dodoma saa 04:00 Asubuhi.
Katika hatua nyingine Rais Samia Suluhu amemteua Nehemia Mchechu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
Mchechu ambaye amewahi kuhudumu kwenye wadhifa huo, anachukua nafasi ya Dkt. Maulid Banyani ambaye atapangiwa kazi nyingine.
Pia amemteua Balozi na Mkuu wa Jeshi la Polisi (Mstaafu) Ernest Jumbe Mangu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Mamlaka ya Bandari (Tanzania Port Authority).
Na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Peter Ulanga kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).
Ulanga ni Mkurugenzi Mstaafu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF).
Na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Meja Jenerali John Julius Mbungo, Mkurugenzi Mstaafu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuwa Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Meli Tanzania (MSCL).
View attachment 2150380
View attachment 2150479
WAZIRI NAPE NNAUYE ALIVYOTANGAZA UTEUZI WA HUMPHREY POLEPOLE