Uteuzi: Rais Samia amteua Humphrey Polepole kuwa Balozi Malawi, Mchechu arudishwa NHC

Uteuzi: Rais Samia amteua Humphrey Polepole kuwa Balozi Malawi, Mchechu arudishwa NHC

Alikuwa pioneer wa kupinga uamuzi wa serikali yake kuleta chanjo

Sasa. Kapata uteuzi wa kuliwakilisha taifa huko kwa majirani zetu
Kwa taratibu za usafiri na kuingia nchi mbali mbali ni lazima uchanje ...

Najiuliza tu huyu Mhe.Je atachanja ?
 
Hiyo inaitwa "off country repatriation" yaani kamuweka mbali ili anyamaze "asipate pakusemea".
Ila siasa ni mchezo mchafu sana wallah, na hii yote dalili ya hofu kuu.
Emmanuel Nchimbi vipi tangu arudi toka Brazil, yupo wapi?
 
Ameteuliwa leo na kuapishwa ni kesho..yani hajapewa hata nafasi ya kujitafakari kuhusu uteuzi....na pia ameteuliwa kuwa balozi na hapo hapo vuai nahodha ameteuliwa kuchukua nafasi ya pole pole...amepewa options ngumu sana hapo polepole..lazima akubali tu hio teuzi maana mbadala wake ameshateuliwa tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
Alikwishatamka tangu awali kuhusu ubunge wao....sio deal kubwa kwake.

Lolote linaweza kutokea kufikia hiyo kesho!

Ila ya mungu ni mengi....watanzania kwa kutojitambua kwetu tunaruhusu kuchezewa kama tiara.

Hapo ndio watu tutaelewa umuhimu wa katiba MPYA!
 
Back
Top Bottom