Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Nehemiah wakati wake wakurugenzi wa NHC walikuwa wanalamba 40m........kn sehemu watu waliweka maslahi yao.sasa wanarudi kuendelea walipoishia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nehemiah wakati wake wakurugenzi wa NHC walikuwa wanalamba 40m........kn sehemu watu waliweka maslahi yao.sasa wanarudi kuendelea walipoishia
Kwani kabla ya Samia ulikuwa unapelekwa wapi? TujuzePOLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI…usiende.
Ukienda unafanyiwa kile alichofanyiwa Dr Emmanuel Nchimbi kupelekwa Brazil kuwa Balozi sasa anachunga mbuzi kule Goba Dar.
Wewe ndio kilaza wa mwisho,nani kateuliwa Mkurugenzi wa bandari? 🤭🤭Halafu IGP wa polisi mstaafu anapewa Ukurugenzi bodi ya Bandari?
Huyu mama huyu....anakotupeleka.........
Emmanuel Nchimbi vipi tangu arudi toka Brazil, yupo wapi?Hiyo inaitwa "off country repatriation" yaani kamuweka mbali ili anyamaze "asipate pakusemea".
Ila siasa ni mchezo mchafu sana wallah, na hii yote dalili ya hofu kuu.
sawa sawa akina manyama.Nehemiah wakati wake wakurugenzi wa NHC walikuwa wanalamba 40m........
Nitafundisha mimi, na syllabus naijua 😅😅Sasa shule ya Uzalendo na #kataawahuni nani atafundisha.
Oh ohHachanji
asipoenda ataenda kulePOLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI …. Haendi
Wote waliondolewa wakati wa JPM,makomredi wote wanarudi mdogo mdogosawa sawa akina manyama.
AsiendePOLEPOLE KUWA BALOZI MALAWI …. Haendi
Hiyo heshima ya kupewa ubalozi inatosha.Uko anapiga kazi mwaka mmoja mama anamtumbua😊
Alikwishatamka tangu awali kuhusu ubunge wao....sio deal kubwa kwake.Ameteuliwa leo na kuapishwa ni kesho..yani hajapewa hata nafasi ya kujitafakari kuhusu uteuzi....na pia ameteuliwa kuwa balozi na hapo hapo vuai nahodha ameteuliwa kuchukua nafasi ya pole pole...amepewa options ngumu sana hapo polepole..lazima akubali tu hio teuzi maana mbadala wake ameshateuliwa tayari
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara imeisha hiyoKwa hiyo Polepole amestaafishwa ubunge, akatulie Malawi huko sio.
Fagia wabishi wote kuelekea 2025.
Hata Dr Possi alikuwa mbunge wa kuteuliwa lakini baadaye JPM alimpeleka ubalozi Ujerumani, hiyo inakubalika hakuna shida.Mama hana kinyongo na mtu, vipi kuhusu ubunge wake atautumikiaje akiwa ughaibuni au ndiyo umegawiwa kwa Vuai?