UTEUZI: Rais Samia amteua Jenerali Venance Mabeyo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro

ajakosea mfupa mgumu mpe fisi anaenda kusimamia ipasavyo atutaibiwa kizembe trust me , haikuwsa jambo jema domestic animal kuchanganyikana na wild animal lazima kimoja kingepoteza uhalisia wake au kuibuka kwa magonjwa ya ajabu ya wanyama na hao watu wanaweka baa mbugani na taa wanyama wangehama ila athari zingekuja onekan mbeleni
 
Afu kuna kijana yuko anasoma chuo cha wanyama pori pale pasiansi akitegemea makubwa hapana haiwezikani
Daah!! Kutoka Pasiansi hadi kusimamia bodi ya NCAA! Hata ingekuwa kutoka MWEKA au SUA. Jifunze namna aina ya kazi / utumishi ulivyo, la sivyo utabaki unashangaa kila siku.
 
Vijana wanapita vyuoni kusoma elimu ya juu tena Elimu kubwa lkn bado hawafahamu itifaki Wala aina ya kazi / majukumu. Kwa ufupi ni kama tunaenda kukua tu vyuoni. Badala yake ni kulalamika tu. Hivi graduate apewe nafasi ya kuongoza bodi ya Wakurugenzi??! Daah
 
Reactions: Tsh
Hahaha, kwamba wanaenda kukua tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…