Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Tuko busy na kiberenge cha manyamaWadau hamjamboni
Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi
Oyaa mkataa kuoa/ndoa mimi siyo kobaaz
Yani Kobaaz wanalamba teuzi kwa fujo.Wadau hamjamboni
Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi.
---
Rais Samia amemteua Mohamed Malick Salum kuwa Mkurugenzi Mkuu wa
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC).
Kabla ya uteuzi huu
Salum alikuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Wizara ya Uchukuzi.
Bw. Salum anachukua nafasi ya Bw. Kaimu Abdi Mkeyenge aliyeteuliwa
kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC).
Uteuzi huu unaanza tarehe 14 Novemba, 2023.
View attachment 2813846
Unatokea BAKWATA?Bado zamu yangu kulamba teuzi
Wana sifa,hawakufauli kwa kuiba mitihani
Rais Samia amemteua Mohamed Malick Salum kuwa Mkurugenzi Mkuu wa
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC).
Hapana, hapo imekula kwangu.Unatokea BAKWATA?
Amri kutoka dp world .. wamesema wanataka samaleko ndiyo wapewe nafasi kwenye mambo ya bandari [emoji40]Wadau hamjamboni
Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi.
---
Rais Samia amemteua Mohamed Malick Salum kuwa Mkurugenzi Mkuu wa
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC).
Kabla ya uteuzi huu
Salum alikuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Wizara ya Uchukuzi.
Bw. Salum anachukua nafasi ya Bw. Kaimu Abdi Mkeyenge aliyeteuliwa
kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC).
Uteuzi huu unaanza tarehe 14 Novemba, 2023.
View attachment 2813846
Dawa ni kubadili jina kwa msajiliUnatokea BAKWATA?