Zawadini
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 2,369
- 1,775
Mkuki kwa ngurue kwa binadamu mchungu. Nilikuwa nasikia hawa elimu yao ni madrasa. Au nasema uongo ndugu zangu?UDINI tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuki kwa ngurue kwa binadamu mchungu. Nilikuwa nasikia hawa elimu yao ni madrasa. Au nasema uongo ndugu zangu?UDINI tu
Ndio. Amepewa kikatiba iyo kazi. Nashukuru kwa kuwa umeliona hilo.Kazi anayoiweza kwa 120% ni kuteua, kutengua na kuhamisha hapo hatumdai chochote
Wewe ni ule upande unaokubali Ndoa za jinsia mojaOyaa mkataa kuoa/ndoa mimi siyo kobaaz
Inasaidia nini sasa?Ndio. Amepewa kikatiba iyo kazi. Nashukuru kwa kuwa umeliona hilo.
Hahaha, baada ya Mama kugundua hao sio wezi.
all is rubbishRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Mohamed Malick Salum kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC). Kabla ya uteuzi huu Bw. Salum alikuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Wizara ya Uchukuzi.
Bw. Salum anachukua nafasi ya Bw. Kaimu Abdi Mkeyenge aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC).
Uteuzi huu unaanza tarehe 14 Novemba, 2023.
View attachment 2813860
Kuswali Ijumaa raha sana!Wadau hamjamboni
Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi.
---
Rais Samia amemteua Mohamed Malick Salum kuwa Mkurugenzi Mkuu wa
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC).
Kabla ya uteuzi huu
Salum alikuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Wizara ya Uchukuzi.
Bw. Salum anachukua nafasi ya Bw. Kaimu Abdi Mkeyenge aliyeteuliwa
kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC).
Uteuzi huu unaanza tarehe 14 Novemba, 2023.
View attachment 2813846
Kazi anayoiweza kwa 120% ni kuteua, kutengua na kuhamisha hapo hatumdai chochote
UVCCM acheni kula majaniMfikishie taarifa ngugu yako mbowe na wenzie
Haya ni majangili tupuRiz1, Ristan Aziz, Mo, Bakhresa, January Maka, JK, Kinana, GSM, Home shopping center the list is long. Yote hayo yamefilisi na yanaendelea kufilisi nchi. Mapapa makubwa ni maislam. Na biashara ya ngada waneishikilia
Mwendo wa Kobazo tuuuji....
Unatokea BAKWATA?
NENDA KASHITAKI BASI KWA KADINALI PENGO TUONE ATAFANYA NINI...UDINI tu
Wenzenu tunasoma!! Ndio maana mama enu kwenye kapu la Bakwata na shura ya maimamu anaokoteza mpaka chuya na bado hapati inabidi arudi kwa wagalatia!MMEJAZANA HUKO SERIKALINI WAGALTIA HAKUNA CHA MAANA MNACHOFANYA ZAIDI YA WIZI TUH,MFUMO KRISTO UMEWALEMAZA SANA WAGALATIA
Swali hili ulipaswa kujibu wewe uliyeandika maoni. Mimi nakukumbusha tu, kwani inaelekea uliandika kimhemko.Inasaidia nini sasa?
Basi sawaSwali hili ulipaswa kujibu wewe uliyeandika maoni. Mimi nakukumbusha tu, kwani inaelekea uliandika kimhemko.
Bado zamu yenu dini ya mashogga
Anatokea dini ya mashoghaUnatokea BAKWATA?