Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Nyie ni majizi 'na mna roho chafuKwa namna mwarabu alivyo mbaguzi kwa wagalatia sidhani kama ataajiri wagalatia pale bandarini, labda kishingo upande ili kuua soo, huenda na hii teuzi inalenga hukohuko kuweka wagalatia kando na bandari, yetu macho na masikio.
Huyu jamaa si ndo wale walikuwa wanatetea mbaya mkataba wa DP world wakati ule mijadala umepamba moto.... basi naona anapokea fadhila!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Mohamed Malick Salum kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC). Kabla ya uteuzi huu Bw. Salum alikuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Sheria, Wizara ya Uchukuzi.
Bw. Salum anachukua nafasi ya Bw. Kaimu Abdi Mkeyenge aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC).
Uteuzi huu unaanza tarehe 14 Novemba, 2023.
View attachment 2813860
Nyie ni majizi 'na mna roho chafu
Maza anapakumbuka sn Msikitini
Maza amejikita Msikini haswaVikofia, makobazi! Ndo sifa kuu!
Wenye roho chafu ni magaidi, wafuga majini na wafanya ushirikina ambao wamejaa huko kwenu.Nyie ni majizi 'na mna roho chafu
Mbona nyie mnafuga majini na uzinzi hatusemi?ZAMA ZA MFUMO KRISTO NCHI HII ZIMEKWISHA,WASOMI WA MFUMO KRISTO WENGI NI WEZI,WALA RUSHWA NA MAFISADI.
MMEJAZANA SERIKALINI MNACHOJUA NI KUIBA,KUNYWA POMBE NA KULA KITI MOTO TUH.
MOOD namfahamu kwa ukaribu sana, naamini atafanya kazi nzuri sana pale. wanatanga atawawakilisha vyema.ZAMA ZA MFUMO KRISTO NCHI HII ZIMEKWISHA,WASOMI WA MFUMO KRISTO WENGI NI WEZI,WALA RUSHWA NA MAFISADI.
MMEJAZANA SERIKALINI MNACHOJUA NI KUIBA,KUNYWA POMBE NA KULA KITI MOTO TUH.
Wenye roho chafu ni magaidi, wafuga majini na wafanya ushirikina ambao wamejaa huko kwenu.
Nyie wapuuzi mnachuo kikuu kimoja tena cha msaada wa Mkapa pale Moro bila hivyo mpaka leo msingekuwa na Chuo Kikuu chochote
sidhani kama ni sahihi, wasomi wapo dini zote, mfano huyo dogo, ninamfahamu kwa ukaribu sana na ni mtu wangu wa karibu. najua itaitendea haki hiyo nafasi.teh teh teh
SISI HATA VYUO VYA SERIKALI KAMA UDSM,UDOM,SUA,MUCOBS.MZUMBE NA KADHALIKA VITATUSAIDIA TUH,KWANI NYINYI HIVYO VYUO VYENU VIMETOA MSAADA GANI??
WASOMI WENYEWE MNAOTOKA HUKO VI MAJIZI TUH,ELIMU YENU NI SAWA NA BURE,HAKUNA MNACHOSOMEA ZAIDI ZAIDI YA KULIIBIA TAIFA
sidhani kama ni sahihi, wasomi wapo dini zote, mfano huyo dogo, ninamfahamu kwa ukaribu sana na ni mtu wangu wa karibu. najua itaitendea haki hiyo nafasi.
ukisema hivyo utakuwa umekosea sana na wewe mwenyewe unajijua kuwa umekosea. waovu wapo sehemu zote, wezi sehemu zote, malaya sehemu zote, kila kwenye imani ya dini fulani hawakosekani watu waovu na wanaoigiza wanafiki. maneno ya aina yako hayasaidii chochote katika jamii. na wewe mwenyewe unajua.WASOMI WA MFUMO KRISTO WENGI WAO NI WEZI TUH,HAO NDIO WANAONGOZA KULIIBIA TAIFA HILI,NI KUPIGA VITANZI TUH HAWA
ukisema hivyo utakuwa umekosea sana na wewe mwenyewe unajijua kuwa umekosea. waovu wapo sehemu zote, wezi sehemu zote, malaya sehemu zote, kila kwenye imani ya dini fulani hawakosekani watu waovu na wanaoigiza wanafiki. maneno ya aina yako hayasaidii chochote katika jamii. na wewe mwenyewe unajua.
hakuna msomi anayelisaidia taifa, awe mkristo au muislam, kila mtu yupo pale kutafuta kwa ajili yake yeye, mke wake na watoto wake. hakuna hata mmoja anayelisaidia Taifa.HILO SIYO KWELI,NCHI HII WAO NDIYO WANAOJIITA NI WASOMI,KWAIYO WANA KESI YA KUJIBU,USOMI WAO UNALISAIDIA NINI TAIFA??MBONA WAMEKUWA NI VINARA WA WIZI,RUSHWA NA UFISADI??
Wenye roho chafu ni magaidi, wafuga majini na wafanya ushirikina ambao wamejaa huko kwenu.
Wajinga wakubwa nyie mnatibiwa Bugando, KCMC, Seliani, Machame, Haydom n.k ni mali ya akina nani na wakati mnaenda na kanzu zenu?teh teh teh
SISI HATA VYUO VYA SERIKALI KAMA UDSM,UDOM,SUA,MUCOBS.MZUMBE NA KADHALIKA VITATUSAIDIA TUH,KWANI NYINYI HIVYO VYUO VYENU VIMETOA MSAADA GANI??
WASOMI WENYEWE MNAOTOKA HUKO VI MAJIZI TUH,ELIMU YENU NI SAWA NA BURE,HAKUNA MNACHOSOMEA ZAIDI ZAIDI YA KULIIBIA TAIFA