UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

Suala la kuteuliwa umelileta mwenyewe hivyo baba matokeo yake.

Kubali kwamba Magufuli mliyembia hayuko tena sasa kuna Samia.
Basi kumbe hata hujui maana ya space-time; acha kubishana na watu wenye kujua facts za nature duniani.
 
Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya vituo kwa Mabalozi wawili (02) na uteuzi wa Balozi mmoja (01) kama ifuatavyo:

1. Amempangia Balozi Humphrey Herson Polepole kuiwakilisha Tanzania nchini Cuba. Kabla ya uteuzi huu Balozi Polepole alikuwa Balozi wa Tanzania, nchini Malawi.

2. Amemteua Balozi Lt. Jenerali (mstaafu) Yacoub Mohamed kuiwakilisha Tanzania katika Falme za Kiarabu (UAE). Kabla ya uteuzi huu, Balozi Mohamed alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Uturuki.

3. Amemteua Bw. Iddi Seif Bakari kuwa Balozi na kumpangia Ubalozi nchini Uturuki. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Bakari alikuwa Konseli Mkuu nchini Dubai.


Humphrey si alikwenda cuba muda mrefu tu, sasa hii imekaaje? johnthebaptist
 
Lengo ni kumteuwa huyo Mzanzibar hakuna lolote la maana

Hapo watasingizia ile misaada ilitumwa Malawi na Uturuki kuwa haukusimamiwa vyema

USSR
Kwani hawapaswi kuteuliwa, au katiba yetu inasemaje?
 
Back
Top Bottom