UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

Kaka kaka kaka kaka popote ulipo Cuba sio Malawi usije kuleta kisebu sebu chako,tulisoma Cuba utapotea!

Nenda kakitulize!
 
Kwa kuwa yeye ni mtu wa bata hajali sana. Mana Cuba na US ni pua na mdomo so atakuwa anaenda kujivinjari LA bila shida
 
Una kichaa wewe kama huo ndio mchango wako kwenye topiki hii. JPM alikuwa habadilisihi badilishi namna hii, ni ama "anatumbua" moja kwa moja au "anakekemea makosa hadharani na kutishia kutumbua". Hakuwa anabadilibadili mara leo hapa mara kesho pale. Hebu eleza ni teuzi ngapi ambazo JPM alikuwa anahamisha hamaisha na kutengua tengua bila taarifa iwapo siyo wale aliokuwa "anatumbua kwa makosa fulani" na ikawa inajulikana fulani "katumbuliwa" kwa kosa fulani.

Mtu anapowekwa katika nafasi fulani, huchukua muda kuielewa nafasi ile na kujenga mikakati ya kukabiliana na changanote zake; kabla hajakamilisha mikakati yake anahamishiwa katika nafasi nyingine ambako ataanza upya; hiyo inapunguza sana ufanisi.
Huyu hajabadilishiwa nafasi yake, kazi bado ni ile ile isipokuwa kilichobadilika kwake ni LOCATION tu. Chances ni kwamba huyu amekuwa favoured zaidi kiasi ambacho kinampalilia aweze kupata uzoefu zaidi kwenye nafasi hiyo.

Hivi kwa nini sisi huwa hatuko positive kwenye mambo yetu? Yaani huwa tuko negative kwa kila kitu. Napapenda Tanzania kuliko Marekani, lakini wakati mwingine huwa nafikiria kuhamia Marekani ili nikae mabli na watu walio negative mno
 
Balozi WA Misri
Ndio wameenda kumzika huko, hahaa Nchimbi yuko wapi now? Wazee nduo wanajua alikuwa mwanasiasa, ila vijana wa sasa hakuna anaye mjua, Polepole ndio mwisho wake sasa
 
Huyu hajabadilishiwa nafasi yake, kazi bado ni ile ile isipokuwa kilichobadilika kwake ni LOCATION tu. Chances ni kwamba huyu amekuwa favoured zaidi kiasi ambacho kinampalilia aweze kupata uzoefu zaidi kwenye nafasi hiyo.

Hivi kwa nini sisi huwa hatuko positive kwenye mambo yetu? Yaani huwa tuko negative kwa kila kitu. Napapenda Tanzania kuliko Marekani, lakini wakati mwingine huwa nafikiria kuhamia Marekani ili nikae mabli na watu walio negative mno
Asante sana; wewe umetoa comment constructive sana. Hata hivyo elewa kuwa tukitumia mfano rahisi sana wa maisha ni kwamba, ukiishi Mwanza kwa mwaka mmoja utajua ni wapi pa kununua vitumbua vizuri, ila ukishahaishiwa Tabora itakuchukua muda tena kujua wapi pa kupata vitumubua vizuri vya namna hiyo. Hilo ndilo ninaloongelea; issue siyo kujua vilipo vitumbua bali ni wapi vilipom vitumbua vizuri. Ni concept ngumu kidogo kwa watu wengine kuelewa ila hilo ndilo ninaloongea la ufanisi wa kazi katika majukumu wanayopewa.
 
Asante sana; wewe umetoa comment constructive sana. Hata hivyo elewa kuwa tukitumia mfano rahisi sana wa maisha ni kwamba, ukiishi Mwanza kwa mwaka mmoja utajua ni wapi pa kununua vitumbua vizuri, ila ukishahaishiwa Tabora itakuchukua muda tena kujua wapi pa kupata vitumubua vizuri vya namna hiyo. Hilo ndilo ninaloongelea; issue siyo kujua vilipo vitumbua bali ni wapi vilipom vitumbua vizuri. Ni concept ngumu kidogo kwa watu wengine kuelewa ila hilo ndilo ninaloongea la ufanisi wa kazi katika majukumu wanayopewa.
Kama mfano wako ni fumbo linaloongelea mambo ya kiofisi; mgeni yeyote kwenye mazingira mapya huwa anahitaji induction course ya masaa tu na ambayo ni ya siku moja tu, kuanzia kwenye mazingira yake ya kazi na hata nje ya mazingira ya kazi. Othrewise tuseme kama ni mwalimu amehamishiwa shule nyingine, baada ya hapo kesho yake anakuwa yuko tayari kushika chaki na kuingia darasani.

Na kwa swala kama hili la Polepole, kati ya kazi za kisiasa ambazo ni rahisi sana na nzuri mno ni za Ubalozi; hasa mtu anapokuwa ni Balozi wa Tanzania nchini CHINA au CUBA
 
Msitutoe kwenye RELI,

Awamu ya SITA imedhamiria kuifilisi Nchi na kuiacha katika madeni makubwa Kwa vizazi vijavyo.

MIKOPO na Pesa za Umma zinaibwa na viongozi Wanalalamika.

Wote wanaohujumu pesa za Umma, tauni isikauke kwao na vizazi vyao.

Hadi watakapotambua, Mungu akikupa nafasi ya uongozi, jua unamuwakilisha Mungu kuwahudumia wananchi maskini wapate kuinuliwa.

Wacha propaganda zako mbovu ,

Hakuna nchi iliyofilisiwa na Tanganyika kama Zanzibar . Ule uvamizi wa Nyerere na kuuwa maelfu ya watu wasio na hatia unalinganisha na mikopo ya maendeleo ya Tanganyika ??.

Mumshukuru sana Samia kwani juu ya yote mliyotufanyia na mnayoendelea kutufanyia ameonyesha upendo zaidi kuliko kisasi .

Anajitahidi kuondoa kila uchafu na kuijenga Tanganyika katika hali ya usawa ili kuwabadilisha akili zenu ziende kwenye utu na maendeleo ya nchi , lakini kuna watu kama nyinyi kwa chuki zenu mko mitandaoni kila wakati kumponda.

Mara mje na anawachagua Wazanzibari wengine anakopa .

Tulieni aondowe uoza wa za zaidi ya miaka 50 wa Nyerere wenu na Jiwe lenu , si kazi rahisi.
 
Kaka kaka kaka kaka popote ulipo Cuba sio Malawi usije kuleta kisebu sebu chako,tulisoma Cuba utapotea!

Nenda kakitulize!

Cuba ya mwaka gani ulisoma ??

Siku hizi mambo ni mkorogo tu siyo ile Cuba ya Castro
 
Hizo ndo miweweseko yenu wapinzani. CCM Iko imara kipindi chote. Mgawanyiko na mipasuko ndani ya CCM mtasubili saana. Ushindi wa CCM uko pale paleee Hadi miaka 1000 ijayooo.
Uhalisia ambao ninauona mimi hapa ni kwamba ipo siku itakuja kuondoka madarakani ila itarudi tena baada ya muda siyo mrefu. Baada ya kurudi, itaendelea kwa kipindi kirefu sana kisichojulikana.

Kuna siku inaweza ikaja ikaondoka kwa sababu waliozaliwa wakaikuta iko madarakani, na ambao hawajui iliwahi kufanya nini huko nyuma, kwa sasa ni wengi mno. Inaweza ikaja kuondolewa kwa mihemko, ila baadaye itarudi tena
 
Then Why bother kumpeleka Cuba kama lengo ni kumpoteza, si bora kutomteua kabisa kama Makonda?
Hapa duniani kuna nchi mbili tu ambazo hata raia mwingine Mtanzania wa kawaida tu akizitembelea, anakuwa kama Mtanganyika ameenda Zanzibar au Mzanzibar amekuja Tanganayika; ni CUBA NA CHINA
 
Uhalisia ambao ninauona mimi hapa ni kwamba ipo siku itakuja kuondoka madarakani ila itarudi tena baada ya muda siyo mrefu. Baada ya kurudi, itaendelea kwa kipindi kirefu sana kisichojulikana.

Kuna siku inaweza ikaja ikaondoka kwa sababu waliozaliwa wakaikuta iko madarakani, na ambao hawajui iliwahi kufanya nini huko nyuma, kwa sasa ni wengi mno. Inaweza ikaja kuondolewa kwa mihemko, ila baadaye itarudi tena
CCCCM ikitoboa 2026,

CDM itapotezwa once and for all.

And vice versa is true.
 
CCCCM ikitoboa 2026,

CDM itapotezwa once and for all.

And vice versa is true.
The vice versa is not true.
CCM wana advantage ya kurudi hata ikitokea siku wameondoka. Intellijensia yao ni very strong kutokana na advantage ya kukaa madarakani muda mrefu. Ni chama ambacho kina uwezo wa kuendelea kushikilia intellijenisa ya nchi hata kama si Serikali yao iliyoko madarakani. Hata hivyo, ni kweli wanaweza wakaondoka for good iwapo tu itatokea wakatolewa madarakani halafu baada ya hapo, wakafuja mali zao na kufilisika
 
Hapa duniani kuna nchi mbili tu ambazo hata raia mwingine Mtanzania wa kawaida tu akizitembelea, anakuwa kama Mtanganyika ameenda Zanzibar au Mzanzibar amekuja Tanganayika; ni CUBA NA CHINA
So wewe uko vizuri kuliko Balozi wa Tz Cuba ama China? If yes wewe ni ass cheek
 
Mwenye CCM, mwenye nchi, mwenye system ni JK tu. Mtoto wa mjini. Akishirikiana na na komredi kanali Kinana. Wengine wote wajinga wajinga tu

View attachment 2575777
Anayo haki hiyo. Aliondoka madarakani akiiacha nchi salama; akatuachia na UNIVERSITIES za kutosha. Aliingia madarakani akatukuta tuna UWANJA WA MPIRA TU and NO UNIVERSITIES!
Kuna kitu kiliwahi kuwepo kinaitwa MATRICULATION, unakijua? Kilisababisshwa na kutokuwepo UNIVERSITIES. Ukifeli matriculation huiingi chuoni hata kama una division one. Hamjui JK amefanya nini nchi hii
 
Uhalisia ambao ninauona mimi hapa ni kwamba ipo siku itakuja kuondoka madarakani ila itarudi tena baada ya muda siyo mrefu. Baada ya kurudi, itaendelea kwa kipindi kirefu sana kisichojulikana.

Kuna siku inaweza ikaja ikaondoka kwa sababu waliozaliwa wakaikuta iko madarakani, na ambao hawajui iliwahi kufanya nini huko nyuma, kwa sasa ni wengi mno. Inaweza ikaja kuondolewa kwa mihemko, ila baadaye itarudi tena
Ndoto nazo hazikosi, hasa ukiwa makande
 
Kupangiwa Balozi nchi za Cuba, China, Urusi ni uteuzi wa kimkakati. Hapelekwi mtu tu ili mradi. Kuna mahusiano makubwa baina ya Tz na nchi hizo kisiasa.
 
Yani mama haitaki harufu ya pole² kabisaa ..

Kwani kamkosea nini !??
 
Back
Top Bottom