Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Mpina ni Mwana CCM ,hawez gombea kupitia Upinzani .
Mlipoambiwa mgombea binafsi na tume huru mlituona wajinga Sasa unadhani kwa tume hii huyo Mpina akigombea kupitia upinzani atashinda? Acheni mihemko huyo Mpina nakuhakikishia ataenda ikulu kuomba msamaha kama Ndugai ndio mtaelewa kwamba Mpina Ni nzi tu huko CCM