UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

Hizo ndo miweweseko yenu wapinzani. CCM Iko imara kipindi chote. Mgawanyiko na mipasuko ndani ya CCM mtasubili saana. Ushindi wa CCM uko pale paleee Hadi miaka 1000 ijayooo.
Subiri 2025 mnadhani nani atachagua huyo Bibi yenu aliyefeli Kila kitu? Mkiweka na wabunge wote ni CCM na hakuna kitu wamefanya basi hizo kampeni sijui mtapigia wapi maana mtazomewa Kila mtakapopita.
 
Subiri 2025 mnadhani nani atachagua huyo Bibi yenu aliyefeli Kila kitu? Mkiweka na wabunge wote ni CCM na hakuna kitu wamefanya basi hizo kampeni sijui mtapigia wapi maana mtazomewa Kila mtakapopita.
Wivu utakumaliza wewee Kwa taarifa yako hakuna hata mtaa mtakaopata hatakidogo na ucharaa wenuu
 
Huyo kashapotezwa kwajili ya jeuri kwa kutokuwa na uwezo wa kuishi na utawala mpya, Siasa ni sayansi, raisi mpya inabidi uende nae kwa style yake hata kama ni kumkosoa,
Anapotezwa kwakupelekwa Cuba, unajua vizuri mahusiano ya Cuba na Tanzania au umezaliwa juzi?
 
Ila alipofanya JPM it was okay kutumbua almost Kila wiki? Hizi double standards haziwezi saidia taifa letu.
Jifunze kusoma mambo na kuelewa mambo. Utajidumaza kwa kuwa unamfikiria JPM tu ambaye hayupo tena kwenye maisha yako. "Kutumbua" kwa sababu ya kushindwa kazi ni tofauti na kuhamisha hamisha. Post hiyo uliyokwote ungeisoma kwa kutumia akili ungeona inasemaje, wewe umeisoma ukiwa unaota JPM tu. Utapata ugonjwa wa moyo bure kwa kumfikiria marehemu kila siku.
 
Hivi Kwa Uwezo mkubwa Alonao Luaga Mpina, Kwa CCM hiii ya wajumbe , Luaga singeshinda Kwa Kishindo kikuu?. Ila kulinda Maisha yake, Jina lake likalazimika kukatwa, ili muwaaminishwe Sasa kua Luaga, mmemuweza
Hamna kitu Mpina, Hana hiyo nguvu hivi ana hata Hela za kampeni za ubunge achilia Urais? Hivi kweli Mpina ndio wakumtisha JK na Kinana 😂😂😂. Ila sukuma gang kweli mmeishiwa, walau mngemtanguliza Ndugai au Kabudi ningeona mko serious. Huyo Mpina 2025 atakatwa kura za maoni na itakua imeisha hiyo na akienda upinzani watampora tu kama walivyomfanyia kafulila 2015!!
 
Ila aminin nawaambia, wakukaa Kwa kutulia ni Nyinyi !!. Kama mnadhan Dola itaendelea kuvumilia Ufisadi na Wizi mnaoufanya Sasa, imekula kwenu !!. AMKENI
Nani kakwambia Dola ni wasafi? Kwani Mwinyi alipotawala miaka 10 hakukua na ufisadi system ilikua wapi?! Au JK alipotawala miaka 10 hakukuwa na ufisadi? System iliofanya Nini? Hivi si ndio hao Polisi tumeambiwa wameiba billions?? Hivi si huko nyuma kulikuwepo ufisadi JWTZ kupitia Deep Green na Meremeta? Kama unadhani system ni wasafi basi unajidanganya hao ndio mafisadi kuliko wanasiasa.

Ni hivi 2015 JPM aliwekwa Ili ku appease wapinzani maana upepo ulikaa vibaya ila sio kwamba walichukizwa na ufisadi ndani ya CCM. Ila kama kweli system hawapendi ufisadi basi CCM wangeshaitoa madarakani tokea 2015 Ili waanzishe upya.

So mnajidanganya tu
 
Hamna kitu Mpina, Hana hiyo nguvu hivi ana hata Hela za kampeni za ubunge achilia Urais? Hivi kweli Mpina ndio wakumtisha JK na Kinana 😂😂😂. Ila sukuma gang kweli mmeishiwa, walau mngemtanguliza Ndugai au Kabudi ningeona mko serious. Huyo Mpina 2025 atakatwa kura za maoni na itakua imeisha hiyo na akienda upinzani watampora tu kama walivyomfanyia kafulila 2015!!
Ohoooo, Wee uchadema umekupa upofu !!.
 
Huyo kashapotezwa kwajili ya jeuri kwa kutokuwa na uwezo wa kuishi na utawala mpya, Siasa ni sayansi, raisi mpya inabidi uende nae kwa style yake hata kama ni kumkosoa,
Kimsingi Polepole haamini kwenye uwezo wa Samia! Kimsingi Polepole anajua fika kuwa Samia anawatu wanajiona deep state hivo wanamperekesha
 
Jifunze kusoma mambo na kuelewa mambo. Utajidumaza kwa kuwa unamfikiria JPM tu ambaye hayupo tena kwenye maisha yako. "Kutumbua" kwa sababu ya kushindwa kazi ni tofauti na kuhamisha hamisha. Post hiyo uliyokwote ungeisoma kwa kutumia akili ungeona inasemaje, wewe umeisoma ukiwa unaota JPM tu. Utapata ugonjwa wa moyo bure kwa kumfikiria marehemu kila siku.
Kwani mpaka adhalilishe mtu hadharani ndio muone kamtumbua Kwa kukosea kazi? Hivi si juzi tu Mama Samia kasema balozi zimefanya ufujaji mkubwa wa pesa Sasa kwanini reshuffle zikifanyika mnaona ni makosa? Hivi Kuna mtu alikua anahamisha watu kama JPM alisema ally hapi ameshindwa kazi Kinondoni ila hapo hapo akampa mkoa wa iringa badala ya kumtumbua kama unavyosema.

So tuache double standards, kama JPM alifanya na mkamuita mzalendo then kaeni kimya kuliko kuonyesha double standards zenu kisa chuki tu.
 
Wivu utakumaliza wewee Kwa taarifa yako hakuna hata mtaa mtakaopata hatakidogo na ucharaa wenuu
Kwenye maridhiano kuna kipengele Cha zoning..... Kuna kata na majimbo lazima yarudi upinzani kwa kuweka wagombea weak wa CCM kwa spirit ya maridhiano kama ulivyoona kule Pemba kwenye uchaguzi mdogo.

So usitarajie walk in a park hiyo 2025.... Hakuna mbeleko ya JPM ni Kila mtu kushinda mechi zake
 
Cuba ni nchi iliyokufa aisee...umasikini umejaa tele hakuna mishe zozote..wacha aende akale samaki wa kisiwani , mbaya zaidi kule akakae darasani akajifunze kilatini
 
Msoga/Chaga Gang.... Narudia kuwaambia, Msipoitaka Radhi Familia ya JPM, muda UTAFIKA tu na mtakubali.


Haya mambo hayatokei tu kimiujiza !!


Kuna watu wanalazimika kutengwa na kua nje ya Mfumo sinkwa sababu nyingine, Bali Kwa lengo kubwa liliko mbele.


Luaga Mpina, alikatwa Jina sio?. Mkapiga yowee, Mpina kakomeshwaaa ,Sasa atulieee.

Hivi Kwa Uwezo mkubwa Alonao Luaga Mpina, Kwa CCM hiii ya wajumbe , Luaga singeshinda Kwa Kishindo kikuu?. Ila kulinda Maisha yake, Jina lake likalazimika kukatwa, ili muwaaminishwe Sasa kua Luaga, mmemuweza !!.

Ila aminin nawaambia, wakukaa Kwa kutulia ni Nyinyi !!. Kama mnadhan Dola itaendelea kuvumilia Ufisadi na Wizi mnaoufanya Sasa, imekula kwenu !!. AMKENI !!.


Ndo haya ya Mh Polepole Sasa !!.
Acha kelele twambie kwanza pesa ya please bargaining ipo wàpi? Unamtisha nani sasa?
 
Ohoooo, Wee uchadema umekupa upofu !!.
Mlipoambiwa mgombea binafsi na tume huru mlituona wajinga Sasa unadhani kwa tume hii huyo Mpina akigombea kupitia upinzani atashinda? Acheni mihemko huyo Mpina nakuhakikishia ataenda ikulu kuomba msamaha kama Ndugai ndio mtaelewa kwamba Mpina Ni nzi tu huko CCM
 
Mhe. Balozi Humphrey Herson Polepole amehamishiwa nchi kubwa ya Cuba.

Balozi anaimarishwa kiitikadi kwa malengo mapana ya muda mrefu ujao.

Nadhani anaenda kuweka rekodi nyingine mpya kiutendaji.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Malawi ilikua karibu sana ,wenda bado alikua anaendeleza mambo ya kistupid ya mwenda zake , ubarozi ni kifungo cha nje japo ni cheo kikubwa , mastupidi yanakoma sasa kwenye kivuli cha ubalozi ,sasa katupwa CUBA USTUPID ATAUFANYIA WAPI
 
Polepole kwa mwezi alikua anakuja Tanzabia Mara 4, karibu Kila mwisho wa wiki anaingia nchini,
 
Mhe. Balozi Humphrey Herson Polepole amehamishiwa nchi kubwa ya Cuba.

Balozi anaimarishwa kiitikadi kwa malengo mapana ya muda mrefu ujao.

Nadhani anaenda kuweka rekodi nyingine mpya kiutendaji.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Alipokuwa Malawi kutwa alikuwa Tanzania Hangaya akaona atamletea shida ndio maana kampeleka mbali huko ili awe anasikika kwa nadra na soon atamtumbua ampoteze kabisa kwenye ulingo wa siasa.
 
Huyo kashapotezwa kwajili ya jeuri kwa kutokuwa na uwezo wa kuishi na utawala mpya, Siasa ni sayansi, raisi mpya inabidi uende nae kwa style yake hata kama ni kumkosoa,
Basi kumbe akina Wassira, Lowassa, Sumaye, Kingunge, Kafulila, Mashinji, Machali, Gekul, Waitara, Nyalandu, Bashiru nk wasinge pokelewa CCM.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Tuliosomea Cuba tunaelewewa.
Mr pole pole kapelekwa mbali na Tz kusudi kuvuruga zile movements zake za chini chini.

Maana ilikuwa haipiti mwezi bila kuja Tz.

Next stage watamla kichwa kabla ya 25.
Japo, hii itakuwa risk kwa SSH.
Maana watamrahisishia mipango yake.
Mwishowe atapigwa chini mazima
 
Back
Top Bottom