UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

UTEUZI: Rais Samia ateua Balozi mmoja na kumhamisha Humphrey Polepole kuwa Balozi nchini Cuba

Msoga/Chaga Gang.... Narudia kuwaambia, Msipoitaka Radhi Familia ya JPM, muda UTAFIKA tu na mtakubali.


Haya mambo hayatokei tu kimiujiza !!


Kuna watu wanalazimika kutengwa na kua nje ya Mfumo sinkwa sababu nyingine, Bali Kwa lengo kubwa liliko mbele.


Luaga Mpina, alikatwa Jina sio?. Mkapiga yowee, Mpina kakomeshwaaa ,Sasa atulieee.

Hivi Kwa Uwezo mkubwa Alonao Luaga Mpina, Kwa CCM hiii ya wajumbe , Luaga singeshinda Kwa Kishindo kikuu?. Ila kulinda Maisha yake, Jina lake likalazimika kukatwa, ili muwaaminishwe Sasa kua Luaga, mmemuweza !!.

Ila aminin nawaambia, wakukaa Kwa kutulia ni Nyinyi !!. Kama mnadhan Dola itaendelea kuvumilia Ufisadi na Wizi mnaoufanya Sasa, imekula kwenu !!. AMKENI !!.


Ndo haya ya Mh Polepole Sasa !!.
Watu kweli tunatofautiana sana uelewa. Hivi Cuba kuna nini cha maana?
 
Sasa huko Cuba, huyo pole pole hawezi kuja kila mwezi? Hela si ipo au??
unadhani logistic za kusafiri kutoka cuba kuja tz ni sawa na kutoka buza kwa mpalange kwenda buguruni rozana mara kumi kwa siku?.

kama emmanuel nchimbi na financial resources zote alizokuwanazo, alipotupwa brazil, hakuweza kupiga trip za back to back za kuja tz, ataweza huyu bwege polepole?.
 
Atakuwa alikuwa anatorokea mbeya kuja chap kufanya mipango ya umoja party na kurud .. sasa mzee issue za Cuba ukafanye siasa za ujamaa huko ndio umeisha hivo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilivyosikia ametupiwa Cuba nikajua uwepo wake karibu ulikuwa unaleta tafrani hivyo ikaonekana bora atupwe mbali ambapo hawezi kubinjuka fasta kufanya mawilimatatu(kwenye strategies za Sukuma gang-faction hasi ndani ya CCM) na kurudi ofisini, kuna mambo mengi ambayo kiusama hauwezi kuwasiliana kwa simu wala kupitia social media.
 
Msoga/Chaga Gang.... Narudia kuwaambia, Msipoitaka Radhi Familia ya JPM, muda UTAFIKA tu na mtakubali.


Haya mambo hayatokei tu kimiujiza !!


Kuna watu wanalazimika kutengwa na kua nje ya Mfumo sinkwa sababu nyingine, Bali Kwa lengo kubwa liliko mbele.


Luaga Mpina, alikatwa Jina sio?. Mkapiga yowee, Mpina kakomeshwaaa ,Sasa atulieee.

Hivi Kwa Uwezo mkubwa Alonao Luaga Mpina, Kwa CCM hiii ya wajumbe , Luaga singeshinda Kwa Kishindo kikuu?. Ila kulinda Maisha yake, Jina lake likalazimika kukatwa, ili muwaaminishwe Sasa kua Luaga, mmemuweza !!.

Ila aminin nawaambia, wakukaa Kwa kutulia ni Nyinyi !!. Kama mnadhan Dola itaendelea kuvumilia Ufisadi na Wizi mnaoufanya Sasa, imekula kwenu !!. AMKENI !!.


Ndo haya ya Mh Polepole Sasa !!.
Sijui kama kuna aliyekuekewa na kama kuna mtu amekuelewa basi wote mnafanana akili.
 
Msoga/Chaga Gang.... Narudia kuwaambia, Msipoitaka Radhi Familia ya JPM, muda UTAFIKA tu na mtakubali.


Haya mambo hayatokei tu kimiujiza !!


Kuna watu wanalazimika kutengwa na kua nje ya Mfumo sinkwa sababu nyingine, Bali Kwa lengo kubwa liliko mbele.


Luaga Mpina, alikatwa Jina sio?. Mkapiga yowee, Mpina kakomeshwaaa ,Sasa atulieee.

Hivi Kwa Uwezo mkubwa Alonao Luaga Mpina, Kwa CCM hiii ya wajumbe , Luaga singeshinda Kwa Kishindo kikuu?. Ila kulinda Maisha yake, Jina lake likalazimika kukatwa, ili muwaaminishwe Sasa kua Luaga, mmemuweza !!.

Ila aminin nawaambia, wakukaa Kwa kutulia ni Nyinyi !!. Kama mnadhan Dola itaendelea kuvumilia Ufisadi na Wizi mnaoufanya Sasa, imekula kwenu !!. AMKENI !!.


Ndo haya ya Mh Polepole Sasa !!.
Umeandika takataka
 
Balozi Humphrey Herson Polepole amehamishiwa nchi kubwa ya Cuba.

Balozi anaimarishwa kiitikadi kwa malengo mapana ya muda mrefu ujao.

Nadhani anaenda kuweka rekodi nyingine mpya kiutendaji.
Hiyo ndio ntolee bro🤣🤣keshapotezwa labda ashinde insta! Na maadili ya ubalozi hayaruhusu, ni kutulia tu Havana huko
 
Polepole tutamteua agombee urais kupitia CHADEMA. Najua chaguo la kwanza la CHADEMA ni Ndugai ila nadhani Polepole atafaa zaidi kwasababu bado kijana.
 
Vijana mko busy kujadili teuzi na vyeo serikali, hii ni ujinga wa hali juu bila chenga, jadili kupiga deal za maana kuongeza uzalishaji kuongeza kipato au demokrasia na haki kwa kila mtu
 
Kwenye maridhiano kuna kipengele Cha zoning..... Kuna kata na majimbo lazima yarudi upinzani kwa kuweka wagombea weak wa CCM kwa spirit ya maridhiano kama ulivyoona kule Pemba kwenye uchaguzi mdogo.

So usitarajie walk in a park hiyo 2025.... Hakuna mbeleko ya JPM ni Kila mtu kushinda mechi zake
Kwahiyo sio kwamba mtapiga sera zenu uchwara ndio mshinde kihalali, kumbe Kuna majimbo mtazawadiwaa. Haaaaaaa haaaaaaa. Kama umesubiri vya bureeee utasubiriii saanaa.

Ebu nitajie hilojimbo mliloridhiana mtapewaa bureeeeeeeee.
 
Tuchape Kazi Tukimtanguliza Mungu Mbele
By Jiwe
 
Sasa kule Cuba itakuwaje maana hakuna wanawake rahisi rahisi Kama Kyela na jamaa Hana mke.
 
Wewe hujuhi kitu kaa kimya..
CCM Ina wenyewe lakini SYSTEM INAWENYEWE PIA.

unadhani magufuli kuwa rais ilikuwa NI coincidence tu?
Haya mambo muulize mzee
Mkuchika .
Mwenye CCM, mwenye nchi, mwenye system ni JK tu. Mtoto wa mjini. Akishirikiana na na komredi kanali Kinana. Wengine wote wajinga wajinga tu

 
Ila kiukweli aina ya watu kama Mh. Balozi Polepole huwa wanakuwa viongozi wenye ushawishi mkubwa sana..
Natamani kumwona siku moja akiwa Rais wa nchi yetu.
Awe rais wa huko kijijini kwenu
 
Polepole ajikumbushe Wimbo huu wa Christmas

" Mbali Kule nasikia Malaika wa mbinguni.......Utukufu una Mungu Juu"

Kila la kheri kwa Wateule wote
Kwa mujibu wa ule uzi wako, kwa hiyo huko Cuba, ndiko atapopambana vizuri na CHADEMA?
 
At the stroke of pen blaza wa unaijua v8 amepigwa indefinate exile sierra maestra milima ya Cuba revolution.
 
Back
Top Bottom