Basi kumbe hata hujui maana ya space-time; acha kubishana na watu wenye kujua facts za nature duniani.Suala la kuteuliwa umelileta mwenyewe hivyo baba matokeo yake.
Kubali kwamba Magufuli mliyembia hayuko tena sasa kuna Samia.
Basi kumbe hata hujui maana ya space-time; acha kubishana na watu wenye kujua facts za nature duniani.
Humphrey si alikwenda cuba muda mrefu tu, sasa hii imekaaje? johnthebaptistRais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya vituo kwa Mabalozi wawili (02) na uteuzi wa Balozi mmoja (01) kama ifuatavyo:
1. Amempangia Balozi Humphrey Herson Polepole kuiwakilisha Tanzania nchini Cuba. Kabla ya uteuzi huu Balozi Polepole alikuwa Balozi wa Tanzania, nchini Malawi.
2. Amemteua Balozi Lt. Jenerali (mstaafu) Yacoub Mohamed kuiwakilisha Tanzania katika Falme za Kiarabu (UAE). Kabla ya uteuzi huu, Balozi Mohamed alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
3. Amemteua Bw. Iddi Seif Bakari kuwa Balozi na kumpangia Ubalozi nchini Uturuki. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Bakari alikuwa Konseli Mkuu nchini Dubai.
Mbna unamchulia mheshimiwa balozi BwasheePolepole ajikumbushe Wimbo huu wa Christmas
" Mbali Kule nasikia Malaika wa mbinguni.......Utukufu una Mungu Juu"
Kila la kheri kwa Wateule wote
Huu uzi ni wa kitambo ndugu.Humphrey si alikwenda cuba muda mrefu tu, sasa hii imekaaje? johnthebaptist
Sijaelewa lengo la kufufua kaburiMjamaa ujamaani Havanna
OkaySijaelewa lengo la kufufua kaburi
Kwani hawapaswi kuteuliwa, au katiba yetu inasemaje?Lengo ni kumteuwa huyo Mzanzibar hakuna lolote la maana
Hapo watasingizia ile misaada ilitumwa Malawi na Uturuki kuwa haukusimamiwa vyema
USSR
asante sana, it is true!Huu uzi ni wa kitambo ndugu.