UTEUZI: Rais Samia ateua Katibu wa Rais, Mnikulu na wasaidizi wake wa Uchumi, Sheria, Siasa, Diplomasia n.k

UTEUZI: Rais Samia ateua Katibu wa Rais, Mnikulu na wasaidizi wake wa Uchumi, Sheria, Siasa, Diplomasia n.k

Sikuwahi kuzisikia kabla hizi teuzi kwa marais waliopita au labda nilipitwa.

1. Katibu wa Rais.
2. Msaidizi wa Rais, diplomasia.
3. Msaidizi wa Rais, nyaraka na ukalimani.
4. Msaidizi wa Rais, siasa.
5. Msaidizi wa Rais, maendeleo ya jamii.
6. Msaidizi wa Rais, uchumi.
7. Msaidizi wa Rais, sheria.

Je nafasi hizi zilikuwepo huko nyuma kabla na kwa majina tafadhali. Nawakilisha.
Mkuu umeuliza swali zuri Sana ,binafsi jana nimejiuliza Sana ,ila nikaja kupata jibu kwamba kikawaida hizi nafasi ni muhim Sana kwenye ofisi ya rais , ila mwenda zake wenda hazikuepo labda moja tu ya Mnilikulu, japo nayo Sina huakika wenda kijazi ndo alikua anafanyia KAZI pia ,vinginevyo wenda pesa za mshahara wao zilikuwa zinaenda kwenye mfuko wa mwendazake, na ndo maana Mambo yalikua yanaenda hovyo, Sasa Kama huna washauri muhim Kama Hawa kwamba unajua kila kitu, huwezi kuendesha nchi vizuri, au kufuraia kiti Kama Rais, matokeo yake unakua unalala na mafaili na hayaishi, Basi tu ila ilitakiwa kupima ubongo wa mwendazake kujua IQ yake, tungepata majibu mengi tokana na utafiti huu,
 
Sikuwahi kuzisikia kabla hizi teuzi kwa marais waliopita au labda nilipitwa.

1. Katibu wa Rais.
2. Msaidizi wa Rais, diplomasia.
3. Msaidizi wa Rais, nyaraka na ukalimani.
4. Msaidizi wa Rais, siasa.
5. Msaidizi wa Rais, maendeleo ya jamii.
6. Msaidizi wa Rais, uchumi.
7. Msaidizi wa Rais, sheria.

Je nafasi hizi zilikuwepo huko nyuma kabla na kwa majina tafadhali. Nawakilisha.
Zilikuwepo tangu kikwete, tofauti yake awamu ya mwendazake aliweka ndugu zake watupu
 
harufu ya udini ikulu. 6/9 ya wateule wapya ni dini moja na mteuaji. haya mambo lazima yasemwe sasa kabla haijawa too late.
 
Mkuu umeuliza swali zuri Sana ,binafsi jana nimejiuliza Sana ,ila nikaja kupata jibu kwamba kikawaida hizi nafasi ni muhim Sana kwenye ofisi ya rais , ila mwenda zake wenda hazikuepo labda moja tu ya Mnilikulu, japo nayo Sina huakika wenda kijazi ndo alikua anafanyia KAZI pia ,vinginevyo wenda pesa za mshahara wao zilikuwa zinaenda kwenye mfuko wa mwendazake, na ndo maana Mambo yalikua yanaenda hovyo, Sasa Kama huna washauri muhim Kama Hawa kwamba unajua kila kitu, huwezi kuendesha nchi vizuri, au kufuraia kiti Kama Rais, matokeo yake unakua unalala na mafaili na hayaishi, Basi tu ila ilitakiwa kupima ubongo wa mwendazake kujua IQ yake, tungepata majibu mengi tokana na utafiti huu,
Thread 'Rais Magufuli amteua Ngusa Dismas Samike kuwa Mnikulu wa Ofisi ya Rais' Rais Magufuli amteua Ngusa Dismas Samike kuwa Mnikulu wa Ofisi ya Rais
 
Sikuwahi kuzisikia kabla hizi teuzi kwa marais waliopita au labda nilipitwa.

1. Katibu wa Rais.
2. Msaidizi wa Rais, diplomasia.
3. Msaidizi wa Rais, nyaraka na ukalimani.
4. Msaidizi wa Rais, siasa.
5. Msaidizi wa Rais, maendeleo ya jamii.
6. Msaidizi wa Rais, uchumi.
7. Msaidizi wa Rais, sheria.

Je nafasi hizi zilikuwepo huko nyuma kabla na kwa majina tafadhali. Nawakilisha.
Thread 'Rais Magufuli amteua Ngusa Dismas Samike kuwa Mnikulu wa Ofisi ya Rais' Rais Magufuli amteua Ngusa Dismas Samike kuwa Mnikulu wa Ofisi ya Rais
 
Zilikuwepo tangu kikwete, tofauti yake awamu ya mwendazake aliweka ndugu zake watupu
Zilikuwepo hata wakati wa Mkapa - RIP. Kwa mfano; Kanali Nsa kaisi - RIP amewaikuwa msaidizi wa Mkapa kwenye mambo ya siasa
 
Sikuwahi kuzisikia kabla hizi teuzi kwa marais waliopita au labda nilipitwa.

1. Katibu wa Rais.
2. Msaidizi wa Rais, diplomasia.
3. Msaidizi wa Rais, nyaraka na ukalimani.
4. Msaidizi wa Rais, siasa.
5. Msaidizi wa Rais, maendeleo ya jamii.
6. Msaidizi wa Rais, uchumi.
7. Msaidizi wa Rais, sheria.

Je nafasi hizi zilikuwepo huko nyuma kabla na kwa majina tafadhali. Nawakilisha.
Hiyo namba tatu ni yule mkalimani wa kwenye msiba au??? [emoji72][emoji72]
 
Sikuwahi kuzisikia kabla hizi teuzi kwa marais waliopita au labda nilipitwa.

1. Katibu wa Rais.
2. Msaidizi wa Rais, diplomasia.
3. Msaidizi wa Rais, nyaraka na ukalimani.
4. Msaidizi wa Rais, siasa.
5. Msaidizi wa Rais, maendeleo ya jamii.
6. Msaidizi wa Rais, uchumi.
7. Msaidizi wa Rais, sheria.

Je nafasi hizi zilikuwepo huko nyuma kabla na kwa majina tafadhali. Nawakilisha.
Cheo cha katibu wa Rais kilikuwepo kipindi cha JPM ila hivo vingine alkamua kuachana navyo pamoja na ile idara ya lishe ya Rais aliziondoa.
 
Cheo cha katibu wa Rais kilikuwepo kipindi cha JPM ila hivo vingine alkamua kuachana navyo pamoja na ile idara ya lishe ya Rais aliziondoa.
Kwani kuna ubaya gani mh. Rais kuzirejesha tena hizo nafasi?
 
Sikuwahi kuzisikia kabla hizi teuzi kwa marais waliopita au labda nilipitwa.

1. Katibu wa Rais.
2. Msaidizi wa Rais, diplomasia.
3. Msaidizi wa Rais, nyaraka na ukalimani.
4. Msaidizi wa Rais, siasa.
5. Msaidizi wa Rais, maendeleo ya jamii.
6. Msaidizi wa Rais, uchumi.
7. Msaidizi wa Rais, sheria.

Je nafasi hizi zilikuwepo huko nyuma kabla na kwa majina tafadhali. Nawakilisha.
Kabla ya Magufuli zilikuwepo, wakati wa Magufuli mwenyewe alisema hashauriki sasa ulitaka ateue washauri wakamshauri nini wakati hashauriki ?
 
Kuna tofauti gani kati ya Mdaidizi na Mshauri ? Maana Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martin Shigella alikuwa mshauri wa siasa wa JK
 
Rais ametoa salaam hasa za Jamhuri ya Muungano kwa kuteua wasaidizi toka Zanzibar na Tanganyika.

Kero za Muungano zinazidi kupunguzwa na Muungano kuimarishwa kwa kutosahau wasaidizi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano lazima waonekane kutoka pande zote mbili.
...hofu yangu bara itamezwa na Zanzibar mda si mrefu...naanza kuyaona ya magufuli na watu wa kanda ya ziwa
 
Back
Top Bottom