Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Mbona mama bado amewapendelea, kachomeka wa tatu kina Magufuli.Kwahiyo huyo jamaa alikuwa msemaji wa family halafu mnikulu wa ikulu.
Daaa hatari sana. Sasa hv atabaki na cheo kimoja msemaji wa family
hiyo tarehe 19 Machi 2021 vip tena...?
Duh hadi wewe? Kweli kila goti litapigwaAlikuwa yule mpwa wake Jiwe anaitwa Ngusa Samike.
Amerudishwa Chato kwa sasa anapigwa vumbi tu.
Sema Mpwa wa Mwenyekiti wako alietwaliwa motoniAlikuwa yule mpwa wake Jiwe anaitwa Ngusa Samike.
Amerudishwa Chato kwa sasa anapigwa vumbi tu.
Kama nani MatagaNaona Sukuma gang wanaendelea kupeta tu.
Kwenye huo uteuzi wapo wa kutosha
Kila Rais huteua na kutangaza hizo ni proffesiinal post kina January walihudumu na JK ndiko alikotokeaBado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?
Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.
Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.
Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.
Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.
Kama nani Mataga
HAINA SHIDA HIYO IKO SAWA. YAANI UTEUZI WAO ULIANZIA TAREHE HIYO ILA KUTANGANGAZWA WAMETANGAZWA LEO. IKO SAWA TU YAWEZEKANA KABISA MTU AKATEULIWA SIKU ZA NYUMA NA AKAANZA KAZI RASMI TAREHE HIYO ISIPOKUWA UMMA UKAJUULISHWA BAADAEhiyo tarehe 19 Machi 2021 vip tena...?
Bado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?
Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.
Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.
Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.
Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.
Halafu iweje?Bora huyu ametutangazia ili tuwajue
Kama ukiangalia mazishi ya dead stone, yule aliyeongea neno la shukrani kama mwakilishi wa familia pale baada ya mazishi makaburini ndio alikuwa Mnikuku. Naona jiwe aliamua kuweka ndugu yake maana hicho cheo unakuwa more or less of beki tatu uliyechangamka tu sasa aliona akiweka asiyemjua wangemmaliza fasta.Hivi hiyo nafasi ya mnikulu awamu ya hayati JPM alikuwa nani?
Yes ni huyo jamaa ndio alikuwa na hicho cheo, alitoa neno la shukrani baada ya mazishi makaburini siku ile akiwa kama msemaji wa familia. Sasa hivi atakuwa mnikulu wa makaburini pale.Alikuwa yule mpwa wake Jiwe anaitwa Ngusa Samike.
Amerudishwa Chato kwa sasa anapigwa vumbi tu.
Huyu amekuwa msaidizi wa mama toka akiwa VP so ni kama ameamua kumvuta aendelee nae.Safu inazidi kupangwa kitaalamu na kibobevu ili Ikulu kupata ushauri sahihi
Mandia, Nehemia Ernest, LLM available here , International Law, Mining, , environmental protection and the principle of intergenerational equity: a comparative analysis of the approaches of Tanzania and Canada
YesHuyu amekuwa msaidizi wa mama toka akiwa VP so ni kama ameamua kumvuta aendelee nae.
YEHODAYA, hivi wewe utateuliwa lini?Hongera wote mlioteuliuliwa ,Chapeni kazi hasa msimuangushe Raisi wetu
Huyu pia ndiye aliyekuwa katibu wa Rais.Ngusa Dismas Samike
Waingereza wana state house?..mnikulu kwa kiingereza anaitwa state house comptroller.