UTEUZI: Rais Samia ateua Katibu wa Rais, Mnikulu na wasaidizi wake wa Uchumi, Sheria, Siasa, Diplomasia n.k

UTEUZI: Rais Samia ateua Katibu wa Rais, Mnikulu na wasaidizi wake wa Uchumi, Sheria, Siasa, Diplomasia n.k

HAINA SHIDA HIYO IKO SAWA. YAANI UTEUZI WAO ULIANZIA TAREHE HIYO ILA KUTANGANGAZWA WAMETANGAZWA LEO. IKO SAWA TU YAWEZEKANA KABISA MTU AKATEULIWA SIKU ZA NYUMA NA AKAANZA KAZI RASMI TAREHE HIYO ISIPOKUWA UMMA UKAJUULISHWA BAADAE
 
Bado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?

Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.

Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.

Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.

Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.
Kila Rais huteua na kutangaza hizo ni proffesiinal post kina January walihudumu na JK ndiko alikotokea
 
Bado sijaona mantiki ya kuambiwa hizi teuzi hadharani. Ni upuuzi mtupu.
Hivi kuna haja ya kuutangazia umma uteuzi wa wasaidizi wako binafsi wa ofisini ukiwa kama rais?
Hivi watangulizi wake walifanya hivi?

Maana ukianza kufanya haya, itabidi kila msaidizi wa rais awekwe wazi.
Kwa mfano; msaidizi wa mambo ya afya, michezo, biashara, kilimo, uvuvi, walemavu, Daktari wa Rais, Dereva wa rais, Dressing designer wa rais, Mpishi wa rais nk.

Na pia siku ukimbadilisha msaidizi itabidi uutangazie umma.

Yoyote kwa yote hao wasaidizi unawaweka katika mazingira ya kufuatwa fuatwa na watu ili wawasaidie kufikisha ujumbe kwa rais au kufanya lobbying. Na wakipata kashfa itahusishwa na ofisi ya rais.

Binafsi naona hili ni kama jambo la kishamba, kutokujiamini na udhaifu wa rais Samia ambao ameuweka hadharani. Sio kila kitu kinapaswa kuletwa hadharani.

..kwenye nchi za wenzetu watumishi wote wa umma rekodi zao huwekwa wazi ikiwa ni pamoja na mishahara wanayolipwa.

..kwa Tz siyo jambo baya wote wanaoteuliwa na Raisi wakajulikana; wakati wanateuliwa, na wakati wanaacha majukumu yao.

..kwakuwa watumishi wa umma wanalipwa kwa kutumia kodi za wananchi, basi walipa kodi / wananchi wana haki ya kutaarifiwa kila wakati ambapo Raisi amefanya uteuzi wa watumishi wa umma.
 
Hivi hiyo nafasi ya mnikulu awamu ya hayati JPM alikuwa nani?
Kama ukiangalia mazishi ya dead stone, yule aliyeongea neno la shukrani kama mwakilishi wa familia pale baada ya mazishi makaburini ndio alikuwa Mnikuku. Naona jiwe aliamua kuweka ndugu yake maana hicho cheo unakuwa more or less of beki tatu uliyechangamka tu sasa aliona akiweka asiyemjua wangemmaliza fasta.
 
Safu inazidi kupangwa kitaalamu na kibobevu ili Ikulu kupata ushauri sahihi

Mandia, Nehemia Ernest, LLM available here , International Law, Mining, , environmental protection and the principle of intergenerational equity: a comparative analysis of the approaches of Tanzania and Canada
Huyu amekuwa msaidizi wa mama toka akiwa VP so ni kama ameamua kumvuta aendelee nae.
 
Back
Top Bottom