UTEUZI: Rais Samia ateua Katibu wa Rais, Mnikulu na wasaidizi wake wa Uchumi, Sheria, Siasa, Diplomasia n.k

Huyu ni mtoto wa Prof Kilama aliyekuwa DG NIMR? Naona majina yamefanana na mtoto wake mmoja
 
Nakumbuka wakati wa hayati Rais Magufuli, katibu wa Rais( Private Secretary to the President of the United Republic of Tanzania) na mnikulu ( Comptroller State House) alikuwa ni mtu mmoja ndugu Ngusa Dismas Samike

Naona mheshimiwa Rais Samia yeye ameamua kutenganisha tena kama ilivyokuwa kwa mheshimiwa Rais mstaafu Kikwete

Kongole na hongera kwa wateule wote
 
With all due respect madame President, Mbona wasaidizi wengi?mi nirifikiri wasaidizi/washauri wako ni mawaziri?mbona unatengeneza mavyeo Mengi?
Hivi vyeo viliuwepo awamu zilizopita?
Mfano unawaziri wa mambo ya nje,anayesimamia diplomasia,harafu unateua Mshauri/msaidizi wa mambo ya kidiplomasia,sasa hapa ushauri wa nani utazingatiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…