Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Ukweli mtupu...[emoji16]
Nasubiria upande wa jikoni kama nitateuliwa, awamu ya Mzee wa Msoga wafanyakazi wa jikoni tu walikuwa wanajaza coaster 2, Jiwe alivyoingia akafunga kitengo na kusema atakuwa anapikiwa na Mama Janeth, sasa naona neema inarejea, nutritionists tutafikiriwa labda!