Uteuzi: Rais Samia ateua Mabalozi 8 wapya

Why uislam na ukristo zinakuwa ndiyo ajenda kubwa nchi hii, vipi kuhusu sisi tusio na upande kati ya hizo mbili. Wapi ilisemwa kwamba hii nchi ni ya imani hizi mbili tu!
Uko sahihi, irrespective of your negligible number, but surely you deserve equal treatment
 
Uko sahihi, irrespective of your negligible number, but surely you deserve equal treatment
Huwa nakereka sana kuona hii mijadala kaka, hata kama tupo wachache lakini sote ni raia wa nchi hii. Shida ni hawa wa hizi imani za mapokeo huona wao ndiyo wenye haki
 
Taasisi sio watu ni mfumo, na kumbuka kuna successful exit plan bado wanaobaki wakafanya makubwa zaidi yao
 
Waislam watano (5) na wakristo watatu (3) ngoja amalize kipindi chake cha mpito, hii ni kusudi tu ili kuleta public debates as spinning for public deviations.
Dini zao zina umuhimu gani katika kutekeleza majukumu yao?? Unadhani fisadi mkristo, muislamu au mpagani wanatofauti??
 

zuhura Yunus, badili hilo neno baadae weka baadaye.
 
Gily nimeona uteuzi nikamkumbuka BABA YANGU wao ni wao 😁
 
Baambie baelewe 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Waislamu 7 Kwa kristo1 ? Au kuna tafsiri nyingine? If this is the case, then si kweli nadhani ni 5-3

waislamu ndio wenye akili mkristo hana akili ndio maana hudanganywa ukishinda njaa ukafa utamuona yesu mbinguni hongera ezakielwa kenya na wamisungwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…