Uteuzi: Rais Samia ateua Mabalozi 8 wapya

Uteuzi: Rais Samia ateua Mabalozi 8 wapya

Mabalozi lazima wapewe orientation ones and twos na kitengo [emoji41]. Wakifika kule nao pia wanakuwa watched in every step they take in daily basis...muwinda huindwa[emoji41]
 
Waislam watano (5) na wakristo watatu (3) ngoja amalize kipindi chake cha mpito, hii ni kusudi tu ili kuleta public debates as spinning for public deviations.
Hoja za udini ni hoja dhaifu sana na zinaonyesha kutokuwa na uelewa. Mimi ni Mkristu wa madhehebu ya KATOLIKI ila siamini kama kuna upendeleo kwa Waisalamu kwa kuwa Rais ni Mwislamu. Kimsingi kwa Tanzania ambayo ni secular state, kuamini kuwa Rais anateua maafisa kwa dini zao ni UPUMBAVU
 
Ofisi za ubalozi 80% ni Askari, TISS, JWTZ au Polisi.

Ubalozi ni pamoja na USHUSHUSHU kiongozi wangu.
Nilifikiri kwa taifa masikini watu wanaojua biashara na uchumi ndio walipaswa kujaa ubalozini ili wavutie uwekezaji nchini!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Mabalozi kama ifuatavyo:

1.Amemteua Meja Jenerali Ramson Godwin Mwaisaka kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huo, Meja Jenerali Mwaisaka alikuwa Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Wanamaji (JWTZ).

2.Amemteua Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huo Meja Jenerali Simuli alikuwa Mkuu wa Utumishi Jeshini (JWTZ).

3.Amemteua Bw. Mohamed Awesu kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huo Bw. Awesu alikuwa Konseli Mkuu, Konseli ya Tanzania, Jeddah Saudia Arabia.

4.Amemteua Bw. Gelasius Byakanwa kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huo Bw. Byakanwa alikuwa Afisa Mkuu Ubalozi wa Tanzania, Korea ya Kusini.

5.Amemteua Dkt. Mohamed Juma Abdallah kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huo Dkt. Abdallah alikuwa Katibu Tawala Mkoa wa Kaskazini Unguja.

6.Amemteua Bw. Hassan Mwamweta kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huo Bw. Mwamweta alikuwa Afisa Mambo ya Nje Mwandamizi na Mkuu wa Utawala, Ubalozi wa Tanzania, Uturuki.

7.Amemteua Bw. Imani Salum Njalikai kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huo Bw. Njalikai alikuwa Afisa wa Mambo ya Nje Mkuu na Msaidizi wa Waziri Mkuu – Hotuba

8. Amemteua Bw. Khamis Mussa Omar kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huo Bw. Mussa alikuwa Kaimu Mwakilishi wa Kudumu, Ubalozi wa Tanzania Ufaransa.

Uteuzi huu wa Mabalozi umeanza tarehe 10 Mei, 2023 na wataapishwa kwa tarehe itakayopangwa baadae.

View attachment 2630981
Naomba kujua hapa wa Ijumaa ni wangapi na wale wa Jumapili nao ni wangapi.
 
Meja Jenerali, IGP unawateua mabalozi. Heri uambiwe toka ulipo kaka nyumbani italipwa mashahara wako mpaka ustaafu. Ubalozi umekuwa sehemu ya kutupa wasiopendeka.
unashangaa meja jenerali?
mbona ma-luteni jenerali wamekua wakiteuliwa ubalozi toka miaka ya nyuma hukuwahi shangaa?.....

fuatilia army chief of staff walikua wanapelekwa wapi baada ya kuondolewa.....
 
Sisi wasabato tunaona sawa tu hapo shida ipo kwa Wakatoliki waliozoea vitonga

Zamu ya wavaa kobazi
Wavaa rozali muwe wapole
 
Uteuzi unazingatia sifa na vigezo tuu, sio jinsia, dini, Kanda au kabila. Hata ikitokea wateuliwa wote wakiwa dini moja au kabila moja, let it be!.
P
Akili ndogo always! Kujikomba ili uwemo!
Huoni umuhimu wa nchi yenye makabila 120 au mikoa 22???? na dini kuu mbili kuangalia kamchanganyiko kidogo. Sasa hisia zinaibuka, unadhani zinaishia hapo? Watu wanaangalia trend...siyo kuwa hii ni isolated incident
 
Religion is the opium of the people marx

Uzi umejaa chuki,fitina,wivu na majungu yasiyo na kichwa Wala miguu.
 
Nataka kuona kaondoa hawa maafisa waandamizi wa ngazi za juu JWTZ wote ‘wagalatia’ toka Bara ataleta akina nani toka wapi!

Kuna kitu nafanyia tafiti teuzi za watakao ziba nafasi zao zitahitimisha tafiti yangu

Kumbuka hawa Major -Generals wawili nafasi zao ni muhimu sana ktk JWTZ.Mmoja ndiyo mkuu wa utumishi JWTZ nafasi nono sana kiutendaji na mwingine mkuu wa kamandi ya jeshi la majini,nafasi ya maana sana.

Wataletwa akina nani kujaza hizi nafasi?
Huyo HR mkuu ndio kipindi chake recruitment ya JWTZ ukiwa na hela unaingia kwa assist. Unamuona wa muhimu sana ila simuoni hivyo, kwanza appointments za kabila fulani zilikuwa nyingi na figisu ziliongezeka ndani.
Kwenye utafiti wako inabidi ufikirie behind the scenes kwanini aliwekwa pale kisha ujiulize kwanini former JKT machachari aliyejenga ukuta wa Mererani alikuwa anawahishwa vyeo. Kuna kagenge kalikuwa kanatengenezwa na I wish I could be IGP, kangekuja kumsaidia baadae ukizingatia bunge alishalifanya kijani na alikuwa na vilaza wameshaanzisha agenda kama yule mwenye kitambi wa issue ya procurement ya mabilioni ya vifaa vya zimamoto.
 
Meja Jenerali, IGP unawateua mabalozi. Heri uambiwe toka ulipo kaka nyumbani italipwa mashahara wako mpaka ustaafu. Ubalozi umekuwa sehemu ya kutupa wasiopendeka.
Wanajeshi wanastaafu bado wana nguvu na umri unaruhusu kulingana na utaratibu wa kustaafu ulivyo jeshini, na nchi inatumia gharama nyingi kuwafundisha na kuwafikisha hatua hiyo. Kumpata officer cadet pekee ni procces sasa imagine kumpata Meja Jenerali.

Nchi nyingine wanaajiri kwa mikataba unakaa jeshini some years ukiwa labda dereva unatoka unaenda private company au taasisi ya serikali nyingine kutumia ujuzi wako kule, mfano ingekuwa tuna huo utaratibu hukosi madereva daredevils wa kwenda deep within DRC kwenye waasi.
Uturuki marubani wa jeshi wanastaafu wanaenda Turkish Airlines, kwa sababu kumpata rubani wa jeshi ni ngumu, muda mwingi, gharama kubwa kuliko inavyofikiriwa. Na anakuwa overqualified kwa civilian airliner ila hajazoea model ya ndege ya kiraia, akistaafu jeshi training kidogo na flight hours chache anakuwa rubani wa kiraia na wana performance nzuri sana.

Wapo wanajeshi wenye GPA, skills, uzalendo, common sense na sifa zote kubwa ila kwa vile wako restricted huwaoni uwezo wao. Ni hasara kuwafanya wastaafu na wasitumike tena nafasi nyingine. Kitu ambacho hawawezi ni kuongoza nchi, uko mara nyingi wanafeli vibaya sana
 
Back
Top Bottom