Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko muhimu katika uongozi wa taasisi mbili nchini kwa kuteua viongozi wapya.
Taarifa kutoka Ikulu iliyotolewa tarehe 11 Novemba 2024 na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, inaeleza uteuzi huo uliaanza rasmi tarehe 9 Novemba 2024.
Profesa Harun Jeremia Mapesa ameteuliwa kuwa akichukua nafasi ya Profesa Shadrack Mwakalila ambaye amemaliza muda wake. Kabla ya uteuzi huu, Prof. Mapesa alikuwa Mhadhiri Mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Mzumbe, akiweka rekodi nzuri ya utaalamu na uzoefu katika elimu ya juu.
Soma Pia: Uteuzi: Dkt. Leonard Akwilapo ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU)
Aidha, Mhandisi Peter Rudolf Ulanga ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), akichukua nafasi ya Mhandisi Ladislaus Matindi ambaye amestaafu.
Taarifa kutoka Ikulu iliyotolewa tarehe 11 Novemba 2024 na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, inaeleza uteuzi huo uliaanza rasmi tarehe 9 Novemba 2024.
Profesa Harun Jeremia Mapesa ameteuliwa kuwa akichukua nafasi ya Profesa Shadrack Mwakalila ambaye amemaliza muda wake. Kabla ya uteuzi huu, Prof. Mapesa alikuwa Mhadhiri Mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Mzumbe, akiweka rekodi nzuri ya utaalamu na uzoefu katika elimu ya juu.
Soma Pia: Uteuzi: Dkt. Leonard Akwilapo ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU)
Aidha, Mhandisi Peter Rudolf Ulanga ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), akichukua nafasi ya Mhandisi Ladislaus Matindi ambaye amestaafu.