Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kama lipiKama lipi?
Analipa mishahara anakusanya mapato Nchi ina amani karuhusu mijadala ya wazi karuhusu vyombo vya habari nk nkNdio kama lipi
inawezekana tu Sasa mwenyewe umeiona Abduliiii amekwenda kuwakilishi wizara ya nishati pale Uganda ,hili ni GENGE au kikundi kinachoiba rasilimali za taifaHuyu karavina sio Mzanzibari ??.
Kama ni ndio anaingiaje TRC?
Nauliza tu?
Ok.Analipa mishahara anakusanya mapato Nchi ina amani karuhusu mijadala ya wazi karuhusu vyombo vya habari nk nk
Hajaruhusu ni takwa la kikatiba, rais hatakiwi kukataza kitu kinachoruhusiwa kikatibaAnalipa mishahara anakusanya mapato Nchi ina amani karuhusu mijadala ya wazi karuhusu vyombo vya habari nk nk
Mbona Magufuli alikataa na uliufyata mkiaHajaruhusu ni takwa la kikatiba, rais hatakiwi kukataza kitu kinachoruhusiwa kikatiba
BANDARI zetu ni URITHI wetu, hazitauzwa, kubinafsishwa Wala kugawiwa Bure Kwa wageni,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:-
i)Amemteua Bw. Ally Amani Karavina kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Reli Tanzania.
li) Amemteua Prof. Sifuni Ernest Mchome kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA)
View attachment 2719327
Ni vyema na ni bahati kwake, na nikushukuru kuwa umekuwa chanya kuhusu "vichwa adimu" nchini, ila kwa mabandiko yako sidhani kama Prof Mchome will share the same sentiments🤭Hongera zao. Prof. Mchome ni moja ya vichwa adimu sana hii nchi imejaliwa kuwa nao. Aliwahi kunifundisha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Yupo vizuri sana
TukabetKwa hiyo Sisi vijana tunafanyaje