We unadhani ule ujumbe wa CDF toka kwa Hayati Magufuli kwenda kwa mama Samia hauhusiki hapa? 😀 😀Kifupi Bashiru Ali katolewa kwenye Chama na Magufuli aachie chama wengine wenyewe wenye chama Na Raisi Samia kamtupa nje ya serikalu aende huko bungeni . now Case closed.Thanks Mama Samia
Watanzania tuko fit
BuhhhhhhBashiru mwezi wa 2 alikuwa anaishi nyumba ya Katibu mkuu CCM ya chama, mwezi wa 3 akahamia nyumba ya Katibu mkuu kiongozi na leo anahamia nyumbani kwake Msewe barabara ya chuo kikuu[emoji23][emoji23][emoji23] Hakika huu ni utalii wa ndani.
Mjinga pekee ndiye anaweza kukata tawi alilokalia ...hilo kundi haliwezi pia asijaribu hana ubavu wa kupambana naoMama sio strong enough ku-deal na hawa watu.Huyu alipaswa kuachwa kam alivyo tu na si kupewa ubunge.
Msishangae akampa uwaziri.
Huyu mama sijui kama ataweza kulipiga chini lile kundi la SUKUMA GANG.
Sukuma gang kwisha habari yake.Mama sio strong enough ku-deal na hawa watu.Huyu alipaswa kuachwa kam alivyo tu na si kupewa ubunge.
Msishangae akampa uwaziri.
Huyu mama sijui kama ataweza kulipiga chini lile kundi la SUKUMA GANG.
KabisaaYule kada hakuwa na sifa za kutosha kuwa Katibu Mkuu Kiongozi pamoja ya kuwa mwendazake John Pombe Magufuli (RIP) alijaribu kumuinua kwa kumpachika kila aina ya vyeo chamani na serikalini ikiwemo ubalozi lakini hakuwa anatosha tukisoma CV za waliowahi kuwa maKatibu Mkuu Kiongozi.
Narudia kuwaambia tena huyo mama ana akili balaa....Hii ya leo sijapata tetesi zake au ndo mama kaanza kuziba zisileak
Kama Membe etiiiMabalozi wetu kwenye mataifa makubwa huwa ni majasusi wabobezi au nasema uongo ndugu zangu.
Ashukuru kwa hicho, amemjali sana, Kumpa ubunge viti maalumu wanaume. Angeweza kumtupilia huko majalalani.Katibu mkuu hadi ubunge?
Kwahiyo kumbe ulikuwa hupendezwi na nafasi za Bashiru ndani ya chama na serikali?Kifupi Bashiru Ali katolewa kwenye Chama na Magufuli aachie chama wengine wenyewe wenye chama Na Raisi Samia kamtupa nje ya serikalu aende huko bungeni . now Case closed.Thanks Mama Samia
Watanzania tuko fit
PM hawezi kuwa, maana sharti ubunge wake utokane na sanduku la kura, siyo wa kuteuliwa ili atoshee kuteuliwa kuwa pmDuh.....Yaani jamaa amedumu wiki 3 tu kwene nafasi hii ya KMK..!!!!!
Something big is being cooking!!! Kuna 2 hapa:
Let's wait and see.......!!?
- Yawezekana Bushiri Ali anatupwa Japan...!!
- Reshuffle ya Baraza la Mawaziri inanukia na huyu Bushiri akapachikwa kwenye Uwaziri au PM....???
Rais Samia Hassan amemteua Balozi Hussein Katanga ambaye ni Balozi wa Japan kuwa Katibu Mkuu Kiongozi akichukua nafasi ya Balozi Bashiru Ally ambaye ameteuliwa kuwa Mbunge.
Rais Samia Suluhu amesema kuwa nafasi ya Balozi Katanga itajazwa baadaye.
Uwezo kwa kipimo gani?H Katanga anauwezo mkubwa
Mbona ana fanana na Majaliwa? au Ni Mdogo wake??? Asije kuwa nae Muongo muongo kama Kassim!
Mbona ana fanana na Majariwa? au Ni Mdogo wake??? Asije kuwa nae Muongo muongo kama Kassim!
HahahahaTanzania BWANA.
Unaweza enda job na cruiser,jioni ukarudi na bajaji