UTEUZI: Rais Samia Suluhu amteua Balozi Hussein A. Kattanga kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Bashiru Ali ateuliwa kuwa Mbunge

Kabisa! Mama anaheshimu sana sheriaaa! Mi 10 tena kwake!
[emoji205][emoji205][emoji205]
 
Kwa ujinga aliofanya tar 12 na 13 yeye na mwenzake..kuteuliwa kuwa mbunge ameheshimiwa sawa ...mwenzake hatamaliza kipindi kilichobaki..washenzi, sana hawa...
Bila shaka mwenzake ambaye ulisema hatamaliza ndo yule jamaa aliyekuwa anauza spika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…