Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Bora hata apewe uwaziri kuliko kumwacha pale alipokuwa. Ilikuwa hatari.Kongole kwako Dkt.Bashiru Ally kwa uteuzi wa Ubunge hakika hapo ulipo sasa ni swala la muda tu pengine tusishangae kusikia ukiteuliwa nafasi ya uwaziri , usidhohofike kutoka nafasi ya KMK hadi M.P.....
Hongera zake hata hivyo, hajarudi mikono mitupu.