secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Hiyo ni zaidi ya hapo....
hiyo inaitwa hitting the dust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni zaidi ya hapo....
Makamu wa Rais mazingira/MuunganoJafo kaenda wapi
ndo kasaidiwa kidizainii auMakamu wa Rais mazingira/Muungano
DemotionKatibu mkuu hadi ubunge?
Nafasi ya Katibu Mkuu kiongozi haipaswi kukaliwa na mwanasiasa kama alivyo Bashiru Kakurwa
Kama ulikubali kupelekwa usukumani sasa tulia upelekwe Mwanakerekwe ukale urojo.Wasi wasi wangu ni kwamba tumetoka usukumani tukaenda Unguja..
🤣🤣mkuu unamaanisha jamaa anavyorudi hom aje na wamasai wanaolinda kwa ngumi maana wale wa manati ya mzungu hawapo?akitaka aache ha ha ha ha na ving'ola leo hakuna analudi nyumbani anakuta hadi walinzi wameondoka
Wala hazikuwa na Uwongo tena hapo ashukuru kwani kupewa Ubunge huo ni kama vile amesamehewa na analindwa tu kwa Msaada mkubwa wa Hirizi ( Ndumba ) zake.Bashiru kang'olewa huenda zile tuhuma ni kweli
Sometimes when you win you loose and sometimes when you loose you winHata mshahara wa kwanza wa Katibu Mkuu Kiongozi haujasoma bacs bank
Hiki ndio tunacho hitaji mengine ni kiinimacho tuHii nchi ili itawalike kwa uzuri ni sharti katiba ifanyiwe marekebisho. Rais ana mamlaka ya kufanya ajuavyo yeye na si kufuata sheria
Tena atulie kabisaa😅Kama ulikubali kupelekwa usukumani sasa tulia upelekwe Mwanakerekwe ukale urojo.
Hongera sana kwake, hii ni aibu kwetu waganda kyaka.
Mkuu Katiba inatakiwa ibadirishwe yote siyo marekebisho..Hii nchi ili itawalike kwa uzuri ni sharti katiba ifanyiwe marekebisho. Rais ana mamlaka ya kufanya ajuavyo yeye na si kufuata sheria
Sidhani kama ni sahihi kujivunia kabila lako mbele ya watanzania wenzako!Kufuatia kugogo na baadhi ya Chadema wenye wivu kuwashambulia mawaziri waliowaita kuwa ni Sukuma gang na walikuwa wakimpangia rais Samia awatumbue wote, ndoto zao zimeenda kinyume kwani wameendelea kupeta wote na wako tayari kuwanyiosha mafisadi kuanzia wezi wa dawa hadi wezi wa kodi za wananchi.
Sukuma gang ndiyo waliorejesha nchi hii kwenye msitari kwa sababu wana msimamo na akili nyingi .
Sukuma gang they can command respect kitu ambacho wenzetu wa milimani na midundiko hawawezi.