UTEUZI: Rais wa Zanzibar amemteua Jaji George Joseph kazi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi

Yaani watu wote mliocomment mmebase kwenye dini ila hamjaona kuwa timu mwenyeji kachagua referee wa mchezo Mwenyewe, bado tuna safari ndefu ya kwenda.
 
Ahueni na minority nao wamekumbukwa katika nafasi za juu serikalini. Maana haiwezekani serikali yote imejaa watu wa imani moja pekee.

Muhimu tu katika maisha yake yote ya kuitumikia hiyo nafasi, kamwe asijaribu kuiga nyendo za Jecha Salim Jecha.
Nafikiri huyo ni TX toka Jamhuri ya Tanganyika
 
Ahueni na minority nao wamekumbukwa katika nafasi za juu serikalini. Maana haiwezekani serikali yote imejaa watu wa imani moja pekee.

Muhimu tu katika maisha yake yote ya kuitumikia hiyo nafasi, kamwe asijaribu kuiga nyendo za Jecha Salim Jecha.
Mbona hivi lakini kwani jina ndo uthibitisho wa imani yake??
 
Mbona hivi lakini kwani jina ndo uthibitisho wa imani yake??
Kwa hiyo unataka kusema mtu mwenye jina kama hilo anaweza kirahisi tu kuwa mmoja wa ndugu yetu katika imaan!

Hilo sahau aisee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…