Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Nchi gani ya kipuuzi kama yetu kutwa kuteua na kuhamisha?Ndio mambo ya utawala ndugu hii Iko kote ulimwenguni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi gani ya kipuuzi kama yetu kutwa kuteua na kuhamisha?Ndio mambo ya utawala ndugu hii Iko kote ulimwenguni
Huyu shetaniAtakuja na uzi humu
Uteuzi wa viongozi wawabubujisha machozi watanzania
Kila la heri kwao ,aamin [emoji2956]TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa na kuhamishwa vituo vya kazi ni kama ifuatavyo:
A: Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya
1. Luteni Kanali Fredrick Faustin Komba ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji;
2. Bw. Mohamed Mussa Mtulyakwaku ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Uyui. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mtulyakwaku alikuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Kwimba; na
3. Bw. Olivanues Paul Thomas ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ludewa. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Thomas alikuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Mafia.
B: Uhamisho wa Wakuu wa Wilaya
1. Mhe. Halima Habib Okash amehamishwa kutoka Wilaya ya Bagamoyo kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Chemba;
2. Mhe. Gerald Romuald Mongella amehamishwa kutoka Wilaya ya Chemba kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kaliua;
3. Mhe. Dkt. Rashid Mohamed Chuachua amehamishwa kutoka Wilaya ya Kaliua kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kigoma;
4. Mhe. Salum Hamis Abdallah Kali amehamishwa kutoka Wilaya ya Kigoma kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido;
5. Mhe. Shaibu Issa Ndemanga amehamishwa kutoka Wilaya ya Lindi kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo;
6. Mhe. Victoria Charles Mwanziva amehamishwa kutoka Wilaya ya Ludewa kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Lindi;
7. Mhe. Abdallah Mussa Mwaipaya amehamishwa kutoka Wilaya ya Mwanga kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara;
8. Mhe. Mwanahamisi Athumani Mukunda amehamishwa kutoka Wilaya ya Mtwara kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mwanga;
9. Mhe. Emmanuela Kaganda Mtatifikolo amehamishwa kutoka Wilaya ya Arumeru kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Babati;
10
. Mhe. Lazaro Jacob Twange amehamishwa kutoka Wilaya ya Babati kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai;
11
. Mhe. Amir Mohamed Mkalipa amehamishwa kutoka Wilaya ya Hai kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru;
12.
Mhe. Dkt. Khalfan Boniface Haule amehamishwa kutoka Wilaya ya Musoma kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rorya;
13. Mhe. Juma Issa Chikoka amehamishwa kutoka Wilaya ya Rorya kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Musoma; na
14. Mhe. Zakaria Saili Mwansasu amehamishwa kutoka Wilaya ya Uyui kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe.
C: Uteuzi wa Makatibu Tawala wa Wilaya
1. Bw. Mohamed Juma Ngasinda ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Kwimba; na
2. Bw. Shabani Shabani Hamimu ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Mafia.
D: Uhamisho wa Makatibu Tawala wa Wilaya
1. Bi. Warda Abdallah Obathany amehamishwa kutoka Wilaya ya Iramba
kwenda kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni; na
2. Bi. Stella Edward Msofe amehamishwa kutoka Wilaya ya Kinondoni kwenda kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Iramba.
E: Uhamisho wa Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri
1. Bi. Hanan Mohamed Bafagh amehamishwa kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa kwenda kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti; na
2. Bw. Hemedi Said Magaro amehamishwa kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti kwenda kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa.
F: Uteuzi wa Wakuu wa Taasisi na Mwenyekiti wa Bodi
1. Bw. Mick Lutechura Kiliba ameteuliwa kuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Kiliba alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Rais - Ikulu;
2. Bw. Macrice Daniel Mbodo ameteuliwa kuwa Postamasta Mkuu, Shirika la Posta Tanzania (TPC); na
3. Bw. Eliud Betri Sanga ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).
PIA SOMA
- Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Muhimu ukipewa nafasi, jiliee na kwa ajiri ya baadae, likitokea lolotee, we ushakuchukua chakoo mdaaa. LolHzi kazi za kuteuliwa hufanyi kwa amani mda wowote unaliwa kichwa
Upo sahihi kabisa mwingine alikuwaDatsun sanga
Toyota mahenge
Ford msemwa
Trecta mwinuka
Phonex ngailo
Phatpham kyando
Pedeli ngajilo nk
Wanaoteua wanajua zipi ni sifa na pongezi halisia, na zipi zinatolewa kama rushwa ya kumpofusha anayesifiwa.Lucas Mwashambwa ili akina Samia wakuheshimu jiheshimu. Maandiko yako yanatia kinyaa na kutapisha watu. Hizo sifa unazoandika zinakudhalilisha kiasi cha kuonekana umebeba usaha kichwani badala ya ubongo.
Tuliwa wewe dawa ikuingie vizuriElimu
Elimu
Elimu
Haya tueleze 100% ina zaidi ya ngapi kama siyo wizi?
Upuuzi tu na gharama kwa walipa kodi, hizi teuzi zinafaida gani?Elimu
Elimu
Elimu
Haya tueleze 100% ina zaidi ya ngapi kama siyo wizi?
Ila Mwashambwa wangemwonea huruma, wampe hata utendaji wa wa kijiji. Maana mpaka kujidhalilisha kwa kiwango anachoonesha hapa JF, ni dhahiri milango yote ya kupata maisha kwake imefunga. Kilichobakia ni kujidhalilisha alimradi tumbo lishibe.Wapi Lucas Mwashambwa, Msigwa?
Mkeka umegoma kusoma?
Wana nuksi?
Luteni Kanali Fredrick Faustin Komba ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji;TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa na kuhamishwa vituo vya kazi ni kama ifuatavyo:
A: Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya
1. Luteni Kanali Fredrick Faustin Komba ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji;
2. Bw. Mohamed Mussa Mtulyakwaku ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Uyui. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Mtulyakwaku alikuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Kwimba; na
3. Bw. Olivanues Paul Thomas ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ludewa. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Thomas alikuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Mafia.
B: Uhamisho wa Wakuu wa Wilaya
1. Mhe. Halima Habib Okash amehamishwa kutoka Wilaya ya Bagamoyo kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Chemba;
2. Mhe. Gerald Romuald Mongella amehamishwa kutoka Wilaya ya Chemba kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kaliua;
3. Mhe. Dkt. Rashid Mohamed Chuachua amehamishwa kutoka Wilaya ya Kaliua kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kigoma;
4. Mhe. Salum Hamis Abdallah Kali amehamishwa kutoka Wilaya ya Kigoma kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido;
5. Mhe. Shaibu Issa Ndemanga amehamishwa kutoka Wilaya ya Lindi kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo;
6. Mhe. Victoria Charles Mwanziva amehamishwa kutoka Wilaya ya Ludewa kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Lindi;
7. Mhe. Abdallah Mussa Mwaipaya amehamishwa kutoka Wilaya ya Mwanga kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara;
8. Mhe. Mwanahamisi Athumani Mukunda amehamishwa kutoka Wilaya ya Mtwara kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mwanga;
9. Mhe. Emmanuela Kaganda Mtatifikolo amehamishwa kutoka Wilaya ya Arumeru kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Babati;
10
. Mhe. Lazaro Jacob Twange amehamishwa kutoka Wilaya ya Babati kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai;
11
. Mhe. Amir Mohamed Mkalipa amehamishwa kutoka Wilaya ya Hai kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru;
12.
Mhe. Dkt. Khalfan Boniface Haule amehamishwa kutoka Wilaya ya Musoma kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rorya;
13. Mhe. Juma Issa Chikoka amehamishwa kutoka Wilaya ya Rorya kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Musoma; na
14. Mhe. Zakaria Saili Mwansasu amehamishwa kutoka Wilaya ya Uyui kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe.
C: Uteuzi wa Makatibu Tawala wa Wilaya
1. Bw. Mohamed Juma Ngasinda ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Kwimba; na
2. Bw. Shabani Shabani Hamimu ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Mafia.
D: Uhamisho wa Makatibu Tawala wa Wilaya
1. Bi. Warda Abdallah Obathany amehamishwa kutoka Wilaya ya Iramba
kwenda kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni; na
2. Bi. Stella Edward Msofe amehamishwa kutoka Wilaya ya Kinondoni kwenda kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Iramba.
E: Uhamisho wa Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri
1. Bi. Hanan Mohamed Bafagh amehamishwa kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa kwenda kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti; na
2. Bw. Hemedi Said Magaro amehamishwa kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti kwenda kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa.
F: Uteuzi wa Wakuu wa Taasisi na Mwenyekiti wa Bodi
1. Bw. Mick Lutechura Kiliba ameteuliwa kuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Kiliba alikuwa Afisa Mwandamizi, Ofisi ya Rais - Ikulu;
2. Bw. Macrice Daniel Mbodo ameteuliwa kuwa Postamasta Mkuu, Shirika la Posta Tanzania (TPC); na
3. Bw. Eliud Betri Sanga ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).
PIA SOMA
- Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Mmemchoka wewe na nani labda wewe na familia Yako. Umetumwa na nani, jisemee mwenyewe.Mama ameteua na kutengua mpaka tumemchoka. Uwajibikaji sifuri, ufanisi sifuri, upigaji 90%.
Natulia mkuuTuliwa wewe dawa ikuingie vizuri
Kiutendaji inaongeza Ari ya utendaji, mkuu wa kitengo akikaa mahali muda mrefu utendaji Huwa unapungua. Mfano mbowe amekuwa mwenyekiti muda mrefu ndio kama CHADEMA imepotea kwenye ramaniUpuuzi tu na gharama kwa walipa kodi, hizi teuzi zinafaida gani?
Wewe mwenye akili umeteuliwa wapi .Lucas Mwashambwa ili akina Samia wakuheshimu jiheshimu. Maandiko yako yanatia kinyaa na kutapisha watu. Hizo sifa unazoandika zinakudhalilisha kiasi cha kuonekana umebeba usaha kichwani badala ya ubongo.
Mama kwa Hili, 2025 utashinda zaidi ya 100%. Hongera sana mama
wanaCCM tunaakili zaidi kuliko wafuasi wa vyama vingine.Natulia mkuu
Wacha dawa iniingie lakini haitaweza kunifanya mjinga kama wewe