Uteuzi Septemba 2, 2024: Rais Samia ateua na kuhamisha vituo vya kazi viongozi mbalimbali

Kila la heri kwao ,aamin [emoji2956]

#Nchi Kwanza [emoji7]
 
Lucas Mwashambwa ili akina Samia wakuheshimu jiheshimu. Maandiko yako yanatia kinyaa na kutapisha watu. Hizo sifa unazoandika zinakudhalilisha kiasi cha kuonekana umebeba usaha kichwani badala ya ubongo.
Wanaoteua wanajua zipi ni sifa na pongezi halisia, na zipi zinatolewa kama rushwa ya kumpofusha anayesifiwa.

Fikiria mtu anamwita Rais Samia ni komandoo wa vita, mara chuma cha reli!! Si unajua kabisa kuwa huyu anamdhihaki.
 
Wapi Lucas Mwashambwa, Msigwa?
Mkeka umegoma kusoma?
Wana nuksi?
Ila Mwashambwa wangemwonea huruma, wampe hata utendaji wa wa kijiji. Maana mpaka kujidhalilisha kwa kiwango anachoonesha hapa JF, ni dhahiri milango yote ya kupata maisha kwake imefunga. Kilichobakia ni kujidhalilisha alimradi tumbo lishibe.

Kwa mtu mwenye options nyingi za maisha hawezi kukubali kujidhalilisha kama ambavyo amekuwa akifanya.
 
Luteni Kanali Fredrick Faustin Komba ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji;

Huyu ni mwanajeshi. Katiba inatamka wanajeshi wote hawapaswi kuwa wanachama wa any political party.

Sote tunajua, mkuu wa wilaya ana cheo ndani ya CCM ngazi ya wilaya kama mjumbe wa Kamati ya Siasa.

Kanali anaingia humo kama nani ikiwa Katiba inamkataa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…