UTEUZI: Sophia Simba ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii

UTEUZI: Sophia Simba ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii

Sawa,ila lililo na mwanzo lina mwisho.Tusubiri.
Huu msemo hauply kwa walioteuliwa tu. Mwisho wao utafika ndio ila hata wewe mwisho wa ufanyayo utafika. In short ni msemo usio na maana yoyote pale unapotaka badiliko fulani halafu hufanyi lolote kuleta hilo badiliko ukitegemea mwisho wa jambo hilo ufike kwa mfumo wa asili tu(nature). Kuna waliopenda utendaji wa JPM ila mwisho wake ukafika. Mambo yooote duniani ya binadamu yana mwanzo na mwisho sasa hakuna maana kusema usiyoyapenda yana mwisho maana hata uyapendayo yana mwisho.
 
Vasco Dagama is showing you that "HE IS BACK WITH VENGEANCE"!!! Anarudisha mtandao wake wote waweze kuiibia nchi ready for 2025!!!
Vengeance to who ? ....and what for ?....haya madaraka yana nini lakini ?

Hivi jamani huu mzunguko utaisha lini mbona ni walewale miaka nenda rudi... wengine wanatakiwa sasa wanalea vitukuu vyao na kustaafu. dunia ya sasa imebadilika sana enzi za maono kama ya akina Simba kwa sasa ni tofauti na maono ya kizazi cha kidigitali.

Kama Wtz wamechoka sura zile zile miaka yote, suluhisho ni kukichagua chama kipya kushika madaraka na sio nje ya hapo.
 
Hatimaye Gavana wa Benki Kuu nii...... Risheeeed Badeee.
 
IJUMAA WAWILI

JUMAPILI MMOJA

Siyo mbaya Sana lakn ijumaa wanaupiga mwingi Sana
 
We chizi, ulitaka ateuliwe mumeo?! Mbona magufuli alikuwa anateua majambazi kina Sabaya mkawa mnashangilia wapuuzi nyie
Mimi sio aina ya mtu unayemfikiria.Mimi sina kambi,naangalia zaidi logic,haki,weledi na maslahi ya taifa.Sio cheap kiasi cha kuangalia urafiki au undugu kwa Hali iwayo yoyote.Tusipofanya hivyo tutalipeleka taifa hili pabaya.
 
Huwa najiuliza hivi Nchi hii haina watu mbadala wenye kushika hizi nafasi Hadi watu walewale?.
 
Huu msemo hauply kwa walioteuliwa tu. Mwisho wao utafika ndio ila hata wewe mwisho wa ufanyayo utafika. In short ni msemo usio na maana yoyote pale unapotaka badiliko fulani halafu hufanyi lolote kuleta hilo badiliko ukitegemea mwisho wa jambo hilo ufike kwa mfumo wa asili tu(nature). Kuna waliopenda utendaji wa JPM ila mwisho wake ukafika. Mambo yooote duniani ya binadamu yana mwanzo na mwisho sasa hakuna maana kusema usiyoyapenda yana mwisho maana hata uyapendayo yana mwisho.
Msemo huo hauna maana unayofikiria wewe.Maana yake ni ya kiroho zaidi.Ni kwamba unapofika mahali hakuna unaloweza kufanya,unamwachia Mungu afanye the rest.Na watu wanapofika mahali wakakabidhi hatma yako kwa Mungu kwa sababu ya ubaya uliotenda,ni mbaya sana.Omba Mungu usifike hapo.God will do something against you.
 
Vengeance to who ? ....and what for ?....haya madaraka yana nini lakini ?



Kama Wtz wamechoka sura zile zile miaka yote, suluhisho ni kukichagua chama kipya kushika madaraka na sio nje ya hapo.
Chama kipya kipi? kwa maana bado sijakiona ukiangalia Chadema,Mwenyekiti wake ni msanii tu ukiende ACT nae Zitto ni msanii tu.
 
Kwa hiyo hao sio wtz sasa chukia mpaka uposuke

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ni Watanzania ndio,lakini sio leadership material.Sitapasuka obviously, ila ni vema viongozi wakakumbuka kwamba nchi hii ni yetu sote,na kwamba hakuna kiongozi mwenye haki ya kuongoza nchi anavyotaka.
 
Back
Top Bottom