UTEUZI: Sophia Simba ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii

UTEUZI: Sophia Simba ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii

Wewe ni CCM? Kinana anatuhusu nini sisi kama nchi wakati ni mtumishi wa lichama lao?
Wewe ni wa ajabu sana na inaelekea hujui kazi ya Makamu wa Chama hasa CCM.

Makamu wa Chama ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti wa Chama,na kwa hiyo Rais,kwa kuwa kwa CCM, Mwenyekiti ndiye Rais.So Makamu wa Chama Cha CCM ana nafasi kubwa sana katika ku-influence muelekeo wa nchi.
 
Ukiwa unasali siku ya ijumaa kuna raha ya kuteuliwa
Sophia simba alikuwa bar maid morogoro akizibua chipa za walevi kama kawa anatandika pombe kama kawa anazidudumia kama mpiga tarumbeta wa bendi ya matarumbeta ya Jeshi bila glasi

Ni muislamu chapombe

Msiangalie Jina.Ana Jina la kiislamu lakini kitimoto udenda unamtoka akiona kitimoto na anakula bila hata kukisomea dua ya alubadiri kabla ya kukila na pombe anatandika alikuwa hawara wa na nyumba ndogo ya mhaya sir George Kahama

Q
 
Sophia simba alikuwa bar maid morogoro akizibua chipa za walevi kama kawa anatandika pombe kama kawa anazidudumia kama mpiga tarumbeta wa bendi ya matarumbeta ya Jeshi bila glasi

Ni muislamu chapombe

Msiangalie Jina.Ana Jina la kiislamu lakini kitimoto udenda unamtoka akiona kitimoto na anakula bila hata kukisomea alubadiri na pombe anatandika alikuwa hawara wa na nyumba ndogo ya mhaya sir George Kahama
Dah,Yehodaya nilikuwa nimekuweka kapuni lakini kwa comment hii umebadilisha mtazamo wangu.Kama uliyoyasema ni kweli,na Samia anayajua,basi tuna shida kubwa ya uongozi,na Mungu atusaidie.
 
Wale wote waliogombana na Jiwe wamerudi serikalini na chamani kwa kishindo

Ni wazee wetu wale wale wanakumbukwa ndiyo maana wanahaha kutafuta posti yoyote ya ulaji :


TOKA MAKTABA

15 January 2022
Taarifa toka makao makuu ya CCM Dodoma pia kutoka Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba na Afisi ya CCM Kisiwandui Unguja Zanzibar .

Wanachama wa CCM wanaotia nia kugombea nafasi ya uspika baada ya Spika Job Y Ndugai kujiuzulu January 2022 ni hawa wafuatao :
  1. Andrew Chenge : mwanasheria mkuu wa serikali wa zamani
  2. Sophia Mathayo Simba : Waziri wa zamani wa Nchi katika Ofisi ya Rais (Utawala Bora), ni Mwenyekiti wa zamani Umoja wa Wanawake Tanzania UWT
Source : Majina ya wanaCCM waliochukua fomu za Uspika
 
Dah,Yehodaya nilikuwa nimekuweka kapuni lakini kwa comment hii umebadilisha mtazamo wangu.Kama uliyoyasema ni kweli,na Samia anayajua,basi tuna shida kubwa ya uongozi,na Mungu atusaidie.
Yeyote aweza verify kama ninachoongea uongo ruksa
Nasimama na nilichoandika kuwa kiko sahihi
 
Msemo huo hauna maana unayofikiria wewe.Maana yake ni ya kiroho zaidi.Ni kwamba unapofika mahali hakuna unaloweza kufanya,unamwachia Mungu afanye the rest.Na watu wanapofika mahali wakakabidhi hatma yako kwa Mungu kwa sababu ya ubaya uliotenda,ni mbaya sana.Omba Mungu usifike hapo.God will do something against you.
Ya kiroho ni ya MUNGU namwachia yeye. Kwani wewe unajua MUNGU analomwazia Sophia Simba? Inaweza kuwa umehuzunika na uteuzi wake kumbe mwenzio alifunga na kusali kwa MUNGU na akamjibu.
 
Chama kipya kipi? kwa maana bado sijakiona ukiangalia Chadema,Mwenyekiti wake ni msanii tu ukiende ACT nae Zitto ni msanii tu.
Okay!...tukubali tu haya ndio maisha tuliyochagua hivyo tuzoee tu.
 
Back
Top Bottom