Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunahitaji vyote viwe imara.Bila political will hata kama ukiwa na taasisi imara hufiki popote.Chini ya Magufuli tulipiga hatua kwa kuwa kulikuwa na political will.Kama Taifa tunahitaji taasisi imara na sio kiongoz imara!!
It is possible there is political will.Mzee hayo unayotaka maybe tupate muongozo mpya wa Taifa letu, yaan katiba mpya, bila hivyo kuwekana kwa kujuana hakuishi. Hata awamu iliyopita mwendo ulikua wa kujuana tu!!
😂😂 Kazi kweli kwel!! Unapokua na taasisi imara jus like Western or Europe yaan hata awepo Rais kilaza lkn uimara wa taasisi utamuongoza vyema!! Tusidanganyane kupata mtu imara badala ya kuweka mipango ya kua na taasisi imara. Ukiwa na taasisi imara hukimbizan na wananchi kulipa kodi na expenses nyingine yaan yote yatakwenda automatically!Tunahitaji vyote viwe imara.Bila political will hata kama ukiwa na taasisi imara hufiki popote.Chini ya Magufuli tulipiga hatua kwa kuwa kulikuwa na political will.
Teuzi tatu;Ukiwa unasali siku ya ijumaa kuna raha ya kuteuliwa
Wanaosali ijumaa ni Sophia Simba au huyo Nkya?Ukiwa unasali siku ya ijumaa kuna raha ya kuteuliwa
Mwaka wenu waislamuTeuzi tatu;
1.Sophia MATHAYO SIMBA
2. Hamisi ......
3. Obey Nkya
Hapo kwa akili za kawaida tu, kwa kufuata ushamba wetu wa kujaji imani ya mtu kwa majina, anayeswali ijumaa ni mmoja tu.
Pamoja na hilo, tayari shutuma na kashgar km hii imeshakuja tayari.
Aisee mama ana kazi sana......kwakuwa kuna Mungu naamini atavuka tu.
Nilikuwa sijui km viongozi wa kiislamu hawa kuna wenye chuki nao kiasi hiki.
Sasa najua kwanini viongozi wa kiislamu pamoja na kuwa wachache lakini ni wenye kubarikiwa sana......chuki za wivu humbariki achukiwaye!
Sawa!Mwaka wenu waislamu
Pigeni pesaSawa!
Dah, kiongozi haya mengine nafikiri aachiwe Tu Mungu, ye ndo atajua Jambo stahiki la kufanya dhidi ya watu hawa....inasimitisha na kuumiza Sana!Wanaosali ijumaa ni Sophia Simba au huyo Nkya?
Poa. Unamaanisha km vileeeee?!!!Pigeni pesa
Ndiyo mkuuPoa. Unamaanisha km vileeeee?!!!
Haya, wamesikia walio vitengoni!Ndiyo mkuu
Nakushauri ukapime miwani maana macho yako yamepata kiza.Mwaka wenu waislamu
Sasa sister anguNakushauri ukapime miwani maana macho yako yamepata kiza.
Hivi balozi wa Misri ni nani kwa sasa?haswaaa,bado nchimbi emanuel naona wamemweka jeshi la akiba.