Watutsi wanatawala Rwanda,ni wengi kuliko wahutu!?..unadhani kwa nini Kuna mchakato wa kumfanya Nyerere kuwa mtakatifu,siyo kulipa kanisa kipaumbele?..hiyo ziara ya papa 1990,papa alisema hajaona pahala kanisa Lina wasaa kuzidi Tanzania,risala ya wenyeji ikasema Wana commission for armed forces,jiulize kivipi wawe nayo taasisi ya dini,Sasa kuwa na influence si suala la wingi,huo wingi muutoe kwenye mikoa gani!?..mbeya,iringa,Arusha hata 100% mngekua nyinyi tu msingefika 6m,Mimi nakwambia sensa ya 58 imesema waislam ni 66%,hili mrema akilisema Sana uchaguzi 1995,mtei alinukuliwa alisema lipumba akitumia uislam wake vizuri atashinda uchaguzi,kwa nini!?..watu waliokua deep kwenye system wanakua nani wengi